Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 77,819
- 233,246
Post #? Tusaidie hata kwa hili dogo
Zipo nyingi Sana huko juuPost #? Tusaidie hata kwa hili dogo
Tutajie namba za posts ili kuokoa muda
Mkitaka picha kubali kutafutaTutajie namba za posts ili kuokoa muda

Kwa nini mnafutaga picha lakini? Hakuna kitu kinachoudhi kama mtu unakuja fulu fosi macho yamekutoka uone picha halafu unaambulia patupu. Aaaaarghhh !!!Weka visoup dish vyako
Ndo msimamo waku huu au utatuonea huruma utuwekee hapa au utuelekeze zilipo?
Tafuta comment #4200Ndo msimamo waku huu au utatuonea huruma utuwekee hapa au utuelekeze zilipo?
Yako iko wapi?Kwa nini mnafutaga picha lakini? Hakuna kitu kinachoudhi kama mtu unakuja fulu fosi macho yamekutoka uone picha halafu unaambulia patupu. Aaaaarghhh !!!
Leo umeshindwa mtihani mwepesi.
Umeelewa nilichosema?
Leo umeshindwa mtihani mwepesi.
Nitakutumia siku Nyingine usijali
Sent using Jamii Forums mobile app


Aaah thubutuuuu!!unaonekana una yale wanahitaga mahips si mchezo![]()
Kwanza sijapenda kwanini hii Union day imedondokea jumapili!! Si ingengoja kesho aisee, nimeumia mnoo.
Kuhusu notification wallah sipendi zitokee hivyo, huku kwangu nilidisable.... Halafu hebu nitumie hiyo nyimbo.
Then hongereni maana mlikuwa mnatia sana huruma wazee wetu



ndiyo hivyo mama imetokea jumapili, yaani hii corona imeleta bahati mbaya kwenye kila kitu.
umemaanisha hold my hand ya naniOoh nimpe ??