Mnazareth
JF-Expert Member
- Dec 4, 2017
- 3,474
- 7,407
Nilienda tu siku hizo mbiliKwahiyo siku hizi umehamia jf usiku wa manane?




Kukesha ni kipaji aiseh
Nakazia hapo kwenye kuomba picha

Naenda kukushtaki kwa ankoo kuwa siku hizi hulali


Kuna sehemu nimekuita naona unanichomesha mahindi.



Kanishtaki tuNaenda kukushtaki kwa ankoo kuwa siku hizi hulali![]()








Yesu wanguKuna sehemu nimekuita naona unanichomesha mahindi.
Naenda kulala![]()


We unataka full pic huo mtihaniBado nipo
Na wewe Naomba picha yako




Ukituma moja mie Natuma na bonusNakazia hapo kwenye kuomba picha![]()