Mwambawetu
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 25,443
- 34,468
Karibu tuangalie woteHaya uangalizi mwema mkuu
Karibu tuangalie woteHaya uangalizi mwema mkuu


nimekireset mkuu, hivi kwanza tulikuwa tunaongelea nini mkuu wangu?Haya AsanteKaribu tuangalie wote
UmenitishaOohh sasa watu ndiyo hawataki hayo mambo, maana hauwezi jua anaweza akanitumia mimi halafu mimi nikamtumia mtu mwingine ambaye ni me halafu huyo mtu ndiyo akamchomolea betri.
Haya mambo haya yasikie kwa jirani tu mkuu
Kama ya kuweka ipo hata ya kung'oa ipo.natamani siku ipatikane app inayoweza kung'oa haya madude mnayoweka kuficha sura zenu![]()
Au SiyoUmenitisha
Kuanzisha sasa mtu akitaka kuniona nam video call nikiwa WC ili anione vizuri
EndiwoAu Siyo

Imenibidi nicheke tu huku nilipo....nimekireset mkuu, hivi kwanza tulikuwa tunaongelea nini mkuu wangu?
Hahaha ulikamatika vibaya wewe
Hadi leo naona kama huelewi Mshubate alikuwa anawachora
Pampula haumsahau
Hadi picha ulisave![]()
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia. Solution hii HAPA sasa. Utashangazwa na matokeo yake...!!!
Utajikuta kwenye ulimwengu wa furaha isiyo kifani. Fanya hivi, hapo ulipo tupia picha yako ya sehemu yoyote mwilini. Epuka picha yenye kuonesha sura kwa sababu za wazi kabisa. Mimi nitaaza na hizi.
Jr banda 2vipi ngulelo jee 😂 Jina konki hilo
Achia hayo majina ya kizungu kbsa
njoo huku kitaani kwa wamasai usikie
majina ya shule na mitaa ucheke ufe

Lolnatamani siku ipatikane app inayoweza kung'oa haya madude mnayoweka kuficha sura zenu![]()
Mwe na hili lisauti langu nitaweza kweli ??Imenibidi nicheke tu huku nilipo....
Nimekutafutia Acoustic moja ya kukupa mood ukiimba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayupo Mwenye Sauti Mbaya,,Mwe na hili lisauti langu nitaweza kweli ??