Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahaha khaa nani kasema hayo yote, wabongo tuna imani za ajabu jamani.

Hapana mkuu mtu kutokukutumia picha yake sidhani kama inahusiana na kuibiana nyota, labda inawezekana hayo mambo yapo ila mie siamini kwa kweli.

Ni vile humu hatufahamiani sasa ukisema kila anayekuomba picha yako umtumie utafahamiana na wangapi, isitoshe humu hatuaminiani sababu ya huu mtindo wa kuchomoleana betri.

We siyo mgeni humu, utakuwa unajua na umeshaona baadhi ya watu waliochomoleana betri sababu ya kukubali kutumiana picha kirahisirahisi tu.
Hapo sasa

Ila ni u crazy mdada kumchomolea betri mdada mwenzake
Au me kumchomolea me mwenzake

Labda kama mmoja ni tapeli sugu hapo hakuna namna zaidi ya kumlipua
 
Hahahaha khaa nani kasema hayo yote, wabongo tuna imani za ajabu jamani.

Hapana mkuu mtu kutokukutumia picha yake sidhani kama inahusiana na kuibiana nyota, labda inawezekana hayo mambo yapo ila mie siamini kwa kweli.

Ni vile humu hatufahamiani sasa ukisema kila anayekuomba picha yako umtumie utafahamiana na wangapi, isitoshe humu hatuaminiani sababu ya huu mtindo wa kuchomoleana betri.

We siyo mgeni humu, utakuwa unajua na umeshaona baadhi ya watu waliochomoleana betri sababu ya kukubali kutumiana picha kirahisirahisi tu.
Kumbe mnaogopana
 
Habari za hapa..kwa niaba ya mshubate
tapatalk_1572443904694.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom