Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hehehehe mie nahisi siku nitakayowaambia wazee wangu kuwa nataka kufuga dreads kama za rastafarians wataniona mtoto wao nimeshawehuka, hawatanikataza ila wataniona kama ndiyo tayari fuse zimeshaachia kama siyo kulegea kichwani.

Huwa napenda sana kumuona mtu mwenye rasta kama zile hasa wanaume wengi ndiyo huwa zinawapendeza, ila zisiwe rough sana kama za kina Lucky Dube au Bob Marley.
Mama angu anapenda,kipindi naenda chuo alinambia nikaweke nikamwambia ka unayapenda kwanini hujaweka kwako...afu kipindi hicho me nilikuwa hata sizielewi dred nikagoma.

Kundini kumenoga tujitahidi tu kuongeza wadau Weylyn yna2
 
Kama huyu mwanamuziki Jah Prayzah kutoka Zimbabwe, huwa nampenda tu sababu ya rasta zake yaani nyepesi nyembamba halafu ndefu na siyo yale mazito manene halafu mafupi.

Sasa mie huwa natakaga nisuke kama hivi
Cc Depal Weylyn
20200331_000508.jpeg
20200331_001630.jpeg
 
Kama huyu mwanamuziki Jah Prayzah kutoka Zimbabwe, huwa nampenda tu sababu ya rasta zake yaani nyepesi nyembamba halafu ndefu na siyo yale mazito manene halafu mafupi.

Sasa mie huwa natakaga nisuke kama hivi
Cc Depal Weylyn View attachment 1404457View attachment 1404461
Yes...hizi zinavutia, yale manene yamekaa rough sana mabaya. Nachukiaga hata nikimuona mtu kayaweka nahisi akili yake imejaa bange 😀
Ilo hizo mtu unaonekana very smart. Mm ningeweka ningekuwa mbali sana sahivi
 
Hehehehe mie nahisi siku nitakayowaambia wazee wangu kuwa nataka kufuga dreads kama za rastafarians wataniona mtoto wao nimeshawehuka, hawatanikataza ila wataniona kama ndiyo tayari fuse zimeshaachia kama siyo kulegea kichwani.

Huwa napenda sana kumuona mtu mwenye rasta kama zile hasa wanaume wengi ndiyo huwa zinawapendeza, ila zisiwe rough sana kama za kina Lucky Dube au Bob Marley.
😂😂😂😂 me mwenyewe sidhani kama Mshua angenielewa.
Siku nimenyoa kwanza alinicheka akaniuliza imekuwaje " nikamjibu ubongo unauma nikisuka 😂😂😂😂
 
Yeah yale manene mabaya, sasa ukiwakuta wenyewe wameyabana halafu wameyavalia na yale makofia yao utasema furushi la nguo liko kichwani.

Mie napenda ziwe simple hivyo tu, yaani siku nikiwa tayari kujitoa kutunza nywele halafu nikapata msusi mzuri wa nywele kama hizo wallah nasuka.
Yes...hizi zinavutia, yale manene yamekaa rough sana mabaya. Nachukiaga hata nikimuona mtu kayaweka nahisi akili yake imejaa bange
Ilo hizo mtu unaonekana very smart. Mm ningeweka ningekuwa mbali sana sahivi
 
khaa, eti ubongo unauma ukisuka. Mie siku niliyonyoa home walinicheka na kuanza kunitania nikawaambia ninyi hata mfanyeje mimi ndiyo nishanyoa hivyo
me mwenyewe sidhani kama Mshua angenielewa.
Siku nimenyoa kwanza alinicheka akaniuliza imekuwaje " nikamjibu ubongo unauma nikisuka
 
Nimevuta mpaka subira mwenyewe naona sahii anataka kwenda kwenye bangi
pole sana, nimejaribu kufungua PM ili niweze kupata kuwasiliana kwa msg, imeshindikana.
tayari nimeshafikisha malalamiko kwa moderators ili wafanyie kazi.

simu ninayotumia ni toleo la mwaka 2019. yenyewe ni moja wapo katika simu hizi:
*sony xperia 1
*iphone 11 pro
*huawei p30 pro
*xiaomi mi note 10.

simu hizi zipo katika kundi la simu zenye uwezo mkubwa wa camera. unaweza kusoma zaidi specifications zake kwenye vyanzo mbalimbali vya mitandao.
 
pole sana, nimejaribu kufungua PM ili niweze kupata kuwasiliana kwa msg, imeshindikana.
tayari nimeshafikisha malalamiko kwa moderators ili wafanyie kazi.

simu ninayotumia ni toleo la mwaka 2019. yenyewe ni moja wapo katika simu hizi:
*sony xperia 1
*iphone 11 pro
*huawei p30 pro
*xiaomi mi note 10.

simu hizi zipo katika kundi la simu zenye uwezo mkubwa wa camera. unaweza kusoma zaidi specifications zake kwenye vyanzo mbalimbali vya mitandao.
MI nakubali 🙌 nina experience nayo...hizo nyingine nitaenda google.
Pole kwa majanga ya PM
 
Back
Top Bottom