Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,348
- 176,144
Mkwe sidanganyikiiiii



Mkwe sidanganyikiiiii



Ni mtaalam kabisa.


kwa kweli hapo niite mvivu tu, maana kusuka siyo kipaumbele changu.
Wacha uvivu
Nimekwiva kusonga ugaliNi mtaalam kabisa.
😂😂😂 sio kipaumbele kivipi wakati ulikuwa na mchicha kabisa ulekwa kweli hapo niite mvivu tu, maana kusuka siyo kipaumbele changu.
Kwahiyo ning'oe mboga mboga zangu?
Kwahiyo ning'oe mboga mboga zangu?
sio kipaumbele kivipi wakati ulikuwa na mchicha kabisa ule
Huaminiki wewe, acha tu nile mboga mboga zangu tu.Ng'oa mboga unipe gharama yake
Na anza kufunga maturubai taratibu
Sent using Jamii Forums mobile app
vuta subira.Naona imegoma kutoka![]()

Paula njoo huku mamaa vimodooo.........ila style za surual uvaazo hebu jarb kuvaa na sneaker za brand kama LVMH(Louis Vuitton).....
Nimevuta mpaka subira mwenyewe naona sahii anataka kwenda kwenye bangi 😂😂vuta subira.![]()
Mama angu anapenda,kipindi naenda chuo alinambia nikaweke nikamwambia ka unayapenda kwanini hujaweka kwako...afu kipindi hicho me nilikuwa hata sizielewi dred nikagoma.Nywele natural kutunza kazi, by the way nilitakaga nifuge dreads kama wale rastafarians, ila nikaambiwa zile ndiyo zinahitaji matunzo kuliko ninavyodhani, nikasema mwee sasa si bora ninyoe tu kuliko kuruka majivu halafu nikakanyage mikaa ya moto.
We nikaribishe kundini tu kwa amani kabisa, maana kurudi kusuka tena ni majaaliwa.
Mama angu anapenda,kipindi naenda chuo alinambia nikaweke nikamwambia ka unayapenda kwanini hujaweka kwako...afu kipindi hicho me nilikuwa hata sizielewi dred nikagoma.Nywele natural kutunza kazi, by the way nilitakaga nifuge dreads kama wale rastafarians, ila nikaambiwa zile ndiyo zinahitaji matunzo kuliko ninavyodhani, nikasema mwee sasa si bora ninyoe tu kuliko kuruka majivu halafu nikakanyage mikaa ya moto.
We nikaribishe kundini tu kwa amani kabisa, maana kurudi kusuka tena ni majaaliwa.
Uje uziweke bhana um sure utapendeza nazo .