Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Pako fresh, napapenda. Bar ya ndani iko vizuri sana.
Camera yako iko
eneo lao la bar lipo poa sana. natamani ningeweka baadhi ya picha nilizopiga nikiwa eneo la bar ila kwasababu fulani fulani za privacy yangu zitoweza fanya hivyo.

asante kwa kunipa credit kuhusu ubora wa camera. kuna simu fulani natumia ila siwezi kuitaja maana nitaonekanana kama "najimwambafai" .
 
eneo lao la bar lipo poa sana. natamani ningeweka baadhi ya picha nilizopiga nikiwa eneo la bar ila kwasababu fulani fulani za privacy yangu zitoweza fanya hivyo.

asante kwa kunipa credit kuhusu ubora wa camera. kuna simu fulani natumia ila siwezi kuitaja maana nitaonekanana kama "najimwambafai" .
Nitajie jamani, labda utani inspire kuvunja kibubu ninunue
 
Msafiri kafiri lakini ume enjoy
nina siku nyingi sija comment chochote kwenye uzi huu, nafurahi kuona uzi bado upo active.

hivi karibuni nilikuwa safarini katika mikoa kadhaa nchini, nayo ni dodoma, arusha, iringa, kilimanjaro na tanga.

tanzania ni kubwa sana, tusiridhike kukaa eneo moja. tupatapo nafasi, tusafiri mikoa mbalimbali ili tujionee uzuri wa tanzania na maliasili zake.

tazama timeline yangu uone misele yangu ya hapa na pale nikiwa katika miji ya mikoa niliyotaja hapo juu.
View attachment 1404079View attachment 1404080View attachment 1404082View attachment 1404083View attachment 1404084

Jr
 
Back
Top Bottom