nina siku nyingi sija comment chochote kwenye uzi huu, nafurahi kuona uzi bado upo active.
hivi karibuni nilikuwa safarini katika mikoa kadhaa nchini, nayo ni dodoma, arusha, iringa, kilimanjaro na tanga.
tanzania ni kubwa sana, tusiridhike kukaa eneo moja. tupatapo nafasi, tusafiri mikoa mbalimbali ili tujionee uzuri wa tanzania na maliasili zake.
tazama timeline yangu uone misele yangu ya hapa na pale nikiwa katika miji ya mikoa niliyotaja hapo juu.
View attachment 1404079View attachment 1404080View attachment 1404082View attachment 1404083View attachment 1404084