Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,485
Na atleast kipindi hicho watu walikuwa wanaanzisha threads za maana na watu wanatoa comments za maana, siku hizi naona utoto mwingi na members wengi wa zamani wamepotea mmebaki ninyi wachache mnaoienzi JF.
Yaani daaah those days acha tu
Usipoingia jf unajihisi kuumwa.



