ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 52,427
- 118,965
Asante sana rafiki, happy valentine day!!Happy Valentines Day Friend
Asante sana rafiki, happy valentine day!!Happy Valentines Day Friend
Wakuu baadae Jioni Mkiwa mnasherehekea sikukuu, Msisahau Mapicha ya location, Wengine tutatumia hizo location siku zingine。
Zawadi pia msisahau kupiga picha, Tuvute maujuzi, Hata Kama zishakua mwilini.
Sent from my iPhone using JamiiForums



Afternoon my Valentine

NiceFrom Feb 2010 to 14th Feb 2020.View attachment 1357399View attachment 1357400

Haya babeNimekuyaaa mimi jamani
Same to you dearHepi valentine me amor..
HahahaahahaAsante sana Sakayo.. Happy Valentine too.
Bahati mbaya tayari nimepata wakunipa company, nami sio mtaalam sana wakuwapanga wawili wakati mmoja wacha niende na huyu . I'm sorry.
Mia Khalifa. Hazina ya taifa la Lebanonyaani watu wote wanaowajua Mia Khalifa na John Sins mbingu hawataiona




Happy Vals darlings... singoz wenzangu kesho twendeni kulewaView attachment 1356756
Sent using Jamii Forums mobile app

Hahahha !! Vina namna yake ya kuvifua na kuvibrash aise vinangaa sanaSister aliniombaga nimsaidie kufua na kublash vile viatu mnavaliaga kwenye OG...ile siku ilikuwa ni mateso kwangu
Lipo wapi?Wakati napita mtaani hali ya mawingu kiasi. Hili dude sijui la nini hata naona kama walipoteza kulijenga.View attachment 1356941