Fursakibao
JF-Expert Member
- Dec 12, 2017
- 6,993
- 11,859
Salam zimefika tupo tunakula bata tu kama unavyoonaMsalimie wifi,ndo mko zenu dubai mna enjoy![]()
God save us
Salam zimefika tupo tunakula bata tu kama unavyoonaMsalimie wifi,ndo mko zenu dubai mna enjoy![]()
Maisha ni mafupi kula raha kufa kwaja



Si mchezo
Ama ponda mali kufa kwajaMaisha ni mafupi kula raha kufa kwaja
God save us


Walah hizo lips natelezeka kama konokono afu nangandisha dakika tano kama smaku.Happy Vals darlings... singoz wenzangu kesho twendeni kulewaView attachment 1356756
Sent using Jamii Forums mobile app




Morning my Valentine
Kuyaaaa kipande hii
Happy Val's day y'all selfika lovers...
Isi okeii

yani kama mimi tu kaka
Daaah acha kabisa... Na wwe pia sijawahi kukubahatishayani kama mimi tu kaka
Asante sana Sakayo.. Happy Valentine too.Happy birthday to you mkuu!!
Mungu azidi kukutunza dear, akupe amani, furaha na baraka tele zisikupungukie!
Happy Valentine's day Mkuu!!!
Najiona meokota embe chini ya mpera!! Jioni tutafutanee
Asante Mama. Happy Valentine .
Happy birthday dearHappy Birthday to Me, Thanks God for Everything.
Happy Valentine to you all.
Mrembo yoyote alieko Moshi afanye kunitag jioni nitamtafuta anipe company.View attachment 1356940
Asante sana mkuu wacha nisikilize iyo nyimbo.Dedication ya Birthday song- 2 Chainz. Unaelekea kufanana na mtu flani kapostiwa ana bday ilibidi niende kuhakikisha. Lakini yuko Dodoma nikajua si wewe.