Fortnox
JF-Expert Member
- Jul 23, 2019
- 3,160
- 11,214
Sasa ni muda muafaka wa kupanda mlima.. Wazungu wanasema climb it or drink it
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Liko maeneo ya Mabibo ukitokea TBL na road ya Maziwa upande wa kushoto. Nimeambiwa pembeni ni kiwanda cha Whitedent. Sema wewe wa mambele nahisi uku hupajui.Lipo wapi?
Inabidi siku usogee karibu tuchunguze ni nini hiyo. Hata mimi nimetamani kujua ni nini au ina kazi gani.Liko maeneo ya Mabibo ukitokea TBL na road ya Maziwa upande wa kushoto. Nimeambiwa pembeni ni kiwanda cha Whitedent. Sema wewe wa mambele nahisi uku hupajui.
Basi ndiyo maana kuna watu wanamchukia mtu kama Kiduku Lilo yaani yule jamaa mimi nyuzi zake nilikuwa naenjoy sana yaani vile alivyokuwa anataja tu yale magari na simu anazotumia mie alikuwa ananikosha,, haijalishi kama ni ukweli au uongo mimi hilo halinihusu mimi nilikuwa nafurahi tu maana ni afadhali hata ya yeye kuliko watu kama kina Zero IQ ambao wao muda wote wanawaza kugegedana tu na kutwa wanaanzisha nyuzi kama hizo..
Halafu hao wanaosema huu uzi ni wa kujimwambafy asilimia kubwa ndiyo hao wanaoshinda kule kwenye uzi wa kula tunda kimasihara,, wao story za kipumbavu kama zile (ambazo nyingi ni za kutunga) ndiyo huwa zinawakosha ila mtu akipost vitu kama majengo au vyakula vizuri wanakasirika..






Happy Birthday to Me, Thanks God for Everything.
Happy Valentine to you all.
Mrembo yoyote alieko Moshi afanye kunitag jioni nitamtafuta anipe company.View attachment 1356940
Mia Khalifa. Hazina ya taifa la Lebanon![]()
Asante MamaHahahaahaha
Usijali kabisaa jamani Mkuu!!
Was just a joke!
.Nipo nafuatilia matukio uso wa kitabu nimeona ni-share nanyi kidogo.View attachment 1357583
Sent from my Redmi Note 5 using Tapatalk
Asante sana Miss. Happy Valentine to you too.Happy Birthday To You And Happy Valentines Day To You