Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Guys, comment ya mtu mmoja ndio mnaijadili tangu jana kweli? Is he worth it? Really?View attachment 1356049
Hebu siku moja Paula ukate tu mzizi wa fitina uliachilie hili guu at least just once....Hata kama ni kwa sekunde chache halafu unalifuta...ila unishtue kabla hujaliweka ili nikodoe jicho kodo
 
Mwanzoni selfie zilikuwa selfie kweli, wengine tukajisahau na madawa ya Mshana Jr tukajipost bila hata emoj waliona wakaona...

watu wengine ni anonymous forever hawataki hata aina ya vidole vyao vifahamike hapa JF.
Mwingine katupia zake kiatu kikali kasema Nyani Ngabu unakuwa huwezi kujua kama ni chake au cha google kisa tu amekipost member fulani hapa raia wanaona yule kama anaSHOW OFF kisa kapost kitu kikali / cha gharama.

Me naona mitazamo ya watu ndio iko hoves mtu anapata kiungulia cha nafsi kisa kuna member kapost gari ya mzungu akijicheck yeye hata ya mchina hana au ipo garage huu mwez wa 7 ni lazima ahisi yule member anajimwambafy kumbe walaa mtazamo wake ndio umempeleka pabaya.

Ni hayo tu, Don't hate, get inspired
Busara tupu yaani...

#Don'tHate
#GetInspired
 
Acha tuseme tu watu wajifunze my dear,, mie nilisikitika nauliza watu kwanini wametukimbia huku kwenye selfie najibiwa eti huu uzi umekuwa wa kujimwambafy ilibidi niweke kwanza simu pembeni ili nishangae vizuri..

Kwa kweli inashangaza sana na haiingii akilini
Give your fingers a break sweetheart. Unadhani watabadilika?
Wanaweza kuacha kuandika hapa lakini mawazo yakawa hivo.
Get your beauty rest.
 
Lmao bro has had it. Some ladies need to style up. Cooch is no present to your person, smh. The first SS took my ribs out 🤣🤣🤣

IMG_20200213_174941.jpg


IMG_20200213_175018.jpg


IMG_20200213_175118.jpg


IMG_20200213_175144.jpg
 
Back
Top Bottom