Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,220
Cafe 2 social
Wewe hata uvae wigi, nitakujua tuu jamani dearNinasuka siku hizi.
Akija mwambie avae Ile jezi ya taifa stars inampendeza sana.
Livapuu unakaribishwaNimevaa ya Barcelona sasa hivi,, nina ya Man U ila nimehama timu so natafuta wa kumpa..
Saint anne nikaribishe Liverpool basi,, naona hadi sasa tunaongoza kwa bao moja..
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya Man U hata ukinipa bure naichoma na kuyatupa majivu yake Baharini siwapendi walivyowanyanganyaga Ugali mdomoni bayern kweye final 99.Nimevaa ya Barcelona sasa hivi,, nina ya Man U ila nimehama timu so natafuta wa kumpa..
Saint anne nikaribishe Liverpool basi,, naona hadi sasa tunaongoza kwa bao moja..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza nielekeze namna ya kupata namba ya nida.


Fanya kumbadilishia dada yetu JaelKhaa sasa si kazi yake jamani,, ye si kagoma kutuwekea option ya mtu kujibadilishia jina..
By the way ye ndiye yuko fasta kujibu pm,, mods wengine huwa wanachelewa kujibu..
Sent using Jamii Forums mobile app

Sasa mtoto wa forest mahakamani,utakujulia wapi wigamba na itende?





kwahiyo ukaona univunje mbavu na mimi,, ila wanaume wana tabu jamani..
Karma naomba umuhimize huyu kuandaa picha.
Tena akichelewa umdai kabisa,picha full.
Sent using Jamii Forums mobile app