Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487

nyoo maporomoko hayo veepee
Ataweza kufika?
Asije zimia njiani..Huku kwetu na haya maporomoko ya mvua
Sent using Jamii Forums mobile app
Hayo Malipsi raha yake ni kutelezeka na ulainiulaini fulani hivi.
Mtafute, yule akiniambia walah jina linarudi.
Mechi itaisha kwenye saa 3.30 hivi, nitaleta matokeo mwenyewe fanya kuandaa hiyo picha.
Karma naomba umuhimize huyu kuandaa picha.Mechi itaisha kwenye saa 3.30 hivi, nitaleta matokeo mwenyewe fanya kuandaa hiyo picha.
Dada unantisha kwani wewe ni Lesbo oune malips ya nini sasa.Kaka umeshindwa hata kunitag na mimi nije kuona hayo malipsi jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha nimekaa nikawafikiria wanaotengeneza hizi pombe,nikafikiria watu walioajiriwa na wanalipwa mshahara kwa ajili yetu..nikaona sio busara kuzitaabisha familia zao
Sent using Jamii Forums mobile app



Karma naomba umuhimize huyu kuandaa picha.
Tena akichelewa umdai kabisa,picha full.
Sent using Jamii Forums mobile app

.Ninasuka siku hizi.Wewe unanyoa bana