Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 31,540
- 88,487



umenichoka naona umeamua kunitukana sasa
Dada unantisha kwani wewe ni Lesbo oune malips ya nini sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app



umenichoka naona umeamua kunitukana sasa
Dada unantisha kwani wewe ni Lesbo oune malips ya nini sasa.
Yaani akafananishe tembo na sisimizi kwelikwahiyo ukaona univunje mbavu na mimi,, ila wanaume wana tabu jamani..
Sent using Jamii Forums mobile app





Muulize Eli79
Hapana nimeshangaa Dada unataka oune lips za Dada pole in Kenyan voice.



wakiwa na yule mr baby face wao au kabla
Ya Man U hata ukinipa bure naichoma na kuyatupa majivu yake Baharini siwapendi walivyowanyanganyaga Ugali mdomoni bayern kweye final 99.
Mwanitesa nyumbu hao watakupa vidonda vya tumbo bureKweli kabisa sitatembea peke yangu,, nimeona Man U miyeyusho tu..
Sent using Jamii Forums mobile app

Baby face na Teddy sheringham ndiyo walidokoa Ugali iliniuma sana kuona beki mmoja wa Bayern mweusi akilia kama kafiwa.
Ya Man U hata ukinipa bure naichoma na kuyatupa majivu yake Baharini siwapendi walivyowanyanganyaga Ugali mdomoni bayern kweye final 99.







Acha kukataa bwana mbona mzuri sana sana mama la mamaNimeikuta kwenye uzi wa selfie hukoo bana!!
Ni *152*00# halafu 3 kwenye ajira na utambuzi halafu 2 kwenye nida halafu watakuuliza unataka upate namba yako kupitia 1 taarifa za mama au 2 namba ya simu uliyosajilia hapo utachagua mwenyeweKwanza nielekeze namna ya kupata namba ya nida.
Ulisema 152 ,halafu naenda sehemu gani???
Sitaki kufungiwa Mimi
Sent using Jamii Forums mobile app




Ni *152*00# halafu 3 kwenye ajira na utambuzi halafu 2 kwenye nida halafu watakuuliza unataka upate namba yako kupitia 1 taarifa za mama au 2 namba ya simu uliyosajilia hapo utachagua mwenyewe
Ukichagua 2 watakuambia uandike majina yako matatu then huko mbele watakuambia uandike hiyo namba ya simu uliyosajilia halafu blah blah blah then kama una salio la kawaida watakukata sh 100 ila kama hauna watakuambia salio lako halitoshi kufanya hiyo huduma sijui kitu kama hicho we jaribu
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo walaaaa hawezi kunishawishi.
Batty bwoy.
Pampula.