Sanchez magoli
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 4,056
- 8,543
Misuko suko ni sehemu ya maisha yetu sisi vijana wa wanger.๐๐๐๐๐ dah!!
Venye unajua mashabiki wa arsenal tulivo wavumilivu!!!
Kukata tamaa hatujui.
Misuko suko ni sehemu ya maisha yetu sisi vijana wa wanger.๐๐๐๐๐ dah!!
Basi nilipitwa,
Tuma tena
Nitapiga picha siku ya sikukuu, nitatuma. Maana ntakuwa na nguo mpya siku hiyo.

poa bwanapoa bwana
Sawa, nimekuelewa.
Hukambo lakini?
Misuko suko ni sehemu ya maisha yetu sisi vijana wa wanger.
Venye unajua mashabiki wa arsenal tulivo wavumilivu!!!
Kukata tamaa hatujui.
Sijambo,nawewe najua uko sawa
Hahahahaaaaa naona huniamini kabisaAhsante kwa wema wako.
Ila ntamchunga mwenyewe kondoo wangu
Hawa sio ngedere wa UDSM kweli?
hadi huku umeshakatizaNatural all day,everyday
Eti Hawachi ile offer ya buku buku kwa kila mwana JF kama nikiweka picha bado ipo?
View attachment 1298079
Nimeshangaa na mimi kutomuona hapa mpaka muda huuWe Hawachi si umeitwa mbona umejikausha?? Siku nyingine ukiitwa mbona huwa unakuja mbio leo vipi!! nasubiri vocha yangu ya buku,, TTCL hapa na ukizidi kuchelewa inaongezeka inakuwa ya buku mbili..
Ila daah hadi mie nimeshituka joanah kuweka picha mwee hatimaye,, hakika huo ni mwanzo mzuri sana..
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeshangaa na mimi kutomuona hapa mpaka muda huu
Hatimayeee!!Natural all day,everyday
Eti Hawachi ile offer ya buku buku kwa kila mwana JF kama nikiweka picha bado ipo?
View attachment 1298079
Baba paroko huaminiki ๐๐๐๐๐Hahahahaaaaa naona huniamini kabisa