Mbona waanza kuruka ruka tulia ule mema ya nchiTahadhari: mimi sio fisi
Na niseme mapema, pia sio fursa


Kwakwel maana co kwa mzunguko huo aliofanya hapaKuepuka yote hayo, tafadhali andika tu address yangu.
Haaminiki baba paroko



Ukiona tu anakusumbua rudi tu, milango ipo wazi..nitakupokea kama yule mwana mpotevu alierudi kwa baba yake baada ya maisha kumpiga fimboBaba paroko usijebadili address ya mwenzio ukaeka yako nkaja kufanya Kaz za kujitolea
Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha kitaa kugumu kweli kweli, hamna wa kupita na meza hapa
hapa nimemaliza kutoa lecture nilikuwa High AF ngoja nikalale sasaView attachment 1298020
Angalia tu usije anza na mume wangu baada ya chocolate moja tu hahaha
Ukiona tu anakusumbua rudi tu, milango ipo wazi..nitakupokea kama yule mwana mpotevu alierudi kwa baba yake baada ya maisha kumpiga fimbo





mh baba paroko umenishinda tabia Hahaha hata offisini ni lazima uandike barua pitia supervisor wako kwenda kwa manager
Angalia tu usije anza na mume wangu baada ya chocolate moja tu hahaha





Hahaha
Hana utulivu ,naona hataki kula apple huyu
Hahaha hata offisini ni lazima uandike barua pitia supervisor wako kwenda kwa manager


bac ntaongea na kijana wako anipe location nkaongee nae barua nshaona itanicheleweshea fursa mizunguko n Ming Washa bluetooth nkurushie
Kama moja au kama maji mtungini??
Haaminiki haaminiki haaminiki.
Ngoja nimuite ...sema nae ni kijana legelege chelewachelewa atakuta mtoto sio wajebac ntaongea na kijana wako anipe location nkaongee nae barua nshaona itanicheleweshea fursa mizunguko n Ming
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo baba paroko unasema mimi msumbufu???Ukiona tu anakusumbua rudi tu, milango ipo wazi..nitakupokea kama yule mwana mpotevu alierudi kwa baba yake baada ya maisha kumpiga fimbo
Uongo unaanzia hapa..Washa bluetooth nkurushie
Unaniamini sasa??
Washa bluetooth nkurushie


acha njisonge karib Mambo yasome haraka npate mavitu