Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,285
- 108,302
What are you going to do with em?
1.Deep fry
2.Pan sear
3.Bake
4.Steam
1.Deep fry
2.Pan sear
3.Bake
4.Steam
What are you going to do with em?
1.Deep fry
2.Pan sear
3.Bake
4.Steam
Tatizo we unafichwa sana...

umeanza lini mtindo kama wa Hawachi??
Karma mzee wa kuja late baada ya picha kufutwa...
Hivi nikimchukua samak fresh nikaweka kwnye pressure cooker pale kwa cake ataiva ama atakua mkaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiacha hio nimekuwa nikiweka collection ya viatu with hashtag #TheShoeTrendChallengeHaha yawezekana ni kweli nafichwa lakini niko na huu uzi sambamba,, sijawahi kuona picha yako hata kwa bahati mbaya..
Achilia mbali zile za bahari na ile ya siku ile
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuwa nafuta baada ya masiku, mfano zile za ufukweni bado zipo hapa
Nani kama cr7...View attachment 1298319
Ila samaki anaweza iva vizuri kama muda atakao set ni sahii na temperature pia...njia nyingine atumie foil na viungo vyote atumbukize kwenye tumbo la samaki akamulie limao nk itanoga mno na ataiva vizuri kwa msaada wa HornetMmh!
Sijawahi jaribu...
Ila kwa ulaini wa samaki i guess ukimtia kwa hiyo sufuria unaweza ishia pata uji wa samaki...
Njia nzuri za kumpika samaki ni kumdeep fry au kukata minofu na kuichoma juu ya kikangio kwa mafuta machache, limao na viungo vya kunyunyiza
Karuka kama ana dunk yupo NBA yani kama lebon James anavyokula mikuno
Dhambi ni pale kufanya ratiba kupeana zamuDa'Vinci umeona?? Kuingia jikoni kumsaidia mkeo kupika siyo dhambi!!
Sent using Jamii Forums mobile app
I praise the Lord, then break the lawI came, I saw, I conquered