Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Atatoa yeye siyo mimi,, halafu mwishoni atamalizia hivi "asante wewe dada wa JF uliyenipa naniliu"..

Halafu unajua mie ule uzi siufuatilii kabisa eti?? Ila kila nikichungulia nakuta watu wameshusha magazeti naondoka!! Nabaki najiuliza yale magazeti yote ni ya kuwala watu kimasihara tu au kuna vingine mule ndani
Kwani wanawake mnatoa ushuhuda?? Au kwa ID za kiume?? Maana ule uzi unaongoza kwa ID mpya. Mimi tu ndio sipo kule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wale wapenzi wa movies na series.
Adjustments.JPG



All you need is love
 
Relax mkuu.nothing is serious.
Usi complicate sana man, take it easy binadamu tupo tofauti sana kuna ambao wakipata kidogo wanapenda kuonyesha waache waishi maisha yao, wewe kuwa bitter haisaidii just celebrate nao life is too short..,

Mfano mimi nikiamua kukupa hasira za maisha mda huu utakimbia hapa wakati 15years ago ilikuwa nife kisa ninaokota chuma mtaani nikauze kilo tzs 20, ...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Atatoa yeye siyo mimi,, halafu mwishoni atamalizia hivi "asante wewe dada wa JF uliyenipa naniliu"..

Halafu unajua mie ule uzi siufuatilii kabisa eti?? Ila kila nikichungulia nakuta watu wameshusha magazeti naondoka!! Nabaki najiuliza yale magazeti yote ni ya kuwala watu kimasihara tu au kuna vingine mule ndani

Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaahahahaahahah. Una mambo sana wewe.

Ndio maana hujanipigia
 
Back
Top Bottom