Salhat
Senior Member
- Oct 14, 2018
- 182
- 417
Mchumba huyo nimekupa, akikushindwa uje kwangu
Na meno yako tu. Zinaozesha meno hizo Sisi wenzio tushajitolea liwalo na liwe
Muongo huyo Iceberg9 usimsikilize. Hazitii mimba wala nini, ingekuwa kiepe kweli
Na ikinyofoka tu naidaka kabla haijafika chini, naistiri maana roho yake ikinyofoka moyo wake utatoa machoziRoho inataka kunyofoka kabisa
Unacheka?? Ushawahi ku-imagine couple yetu ya vibogoyo??
Mchumba huyo nimekupa, akikushindwa uje kwangu


acha niandae barua ya maombi Usisahau anuani ya inakotoka😀😀😀😀
Yan huenda alishafanya Kaz kambin kwa mapadri maana sio kwa wema huu fisi kumpa fisi mwenzie nyama


Muongo huyo Iceberg9 usimsikilize. Hazitii mimba wala nini, ingekuwa kiepe kweli



Yah full kurushiana mateUnacheka?? Ushawahi ku-imagine couple yetu ya vibogoyo??



Hahahahahahahahaha. Sitaki kukuuliza nani ni fisi na nani ni nyamaYan huenda alishafanya Kaz kambin kwa mapadri maana sio kwa wema huu fisi kumpa fisi mwenzie nyama
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni baba paroko ndiyo maana ya wema huu hahahahaha
Hahahahaahah