Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Customer care za Bongo huwa hawapo serious sana...
Ni kweli kabisa, japo nimesaidika ila duuuh!!
Nimepiga akapokea mdada, sijui majibu kakaririshwa halafu kabishiiii nikaona ananizingua, nikakata.
Nikapiga tena akapokea mdada, nikakata.

Nikapiga akapokea mkaka ana sauti ya kiume tamuuuu, hadi nimetamani shida isiishe
 
Namba ya kitambulisho ulichosajilia hiyo sim card watakuomba na mara nyingi hata kama kitambulisho ndiyo chenyewe watakuambia siyo chenyewe,, halafu wanakuambia nenda whatever shop ukahudumiwe yaani basi tu sijui wanapenda kutuona madukani mwao mule..

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimesaidika mama, wa kwanza ndio alizingua.
 
aki we siyo mzima
Ni kweli kabisa, japo nimesaidika ila duuuh!!
Nimepiga akapokea mdada, sijui majibu kakaririshwa halafu kabishiiii nikaona ananizingua, nikakata.
Nikapiga tena akapokea mdada, nikakata.

Nikapiga akapokea mkaka ana sauti ya kiume tamuuuu, hadi nimetamani shida isiishe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom