Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

.
Screenshot_20191218_082326.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh teh teeeeeeeh!!
Mkwe hebu tuwache kwanza, usijifanye hujui
Hapana mkwe ngoja niwape za uso kwa huwa mnazingua sana huku jukwaani, piga sana vijembe...

Halafu mara paaap tunakutana na nyuziii za wavulana wanajisifia, sababu tu jukwaani huku mbele mnakuwa wakali kila mdada ni St.Theresa...

Sasa mkipatwa na wavulana huko wanajiona kama wamefaulu mtihani wa kuingia Cambridge au Yale, wanaishia kuja kupiga vifua vyao huku mbele na nyuzi zao sijui za kimasihara etc...

Anyway ngoja niachane nayo mkwe, huwa hayanihusu sana
 
Hapana mkwe ngoja niwape za uso kwa huwa mnazingua sana huku jukwaani, piga sana vijembe...

Halafu mara paaap tunakutana na nyuziii za wavulana wanajisifia, sababu tu jukwaani huku mbele mnakuwa wakali kila mdada ni St.Theresa...

Sasa mkipatwa na wavulana huko wanajiona kama wamefaulu mtihani wa kuingia Cambridge au Yale, wanaishia kuja kupiga vifua vyao huku mbele na nyuzi zao sijui za kimasihara etc...

Anyway ngoja niachane nayo mkwe, huwa hayanihusu sana
Mkuu, tutawapata/watawapata tu wa huku. Kufahamiana na total stranger halafu mkafall huwa ni tamu sana. Sijui dada zetu wanakwama wapi.
 
Tatizo JF mtu akikutokea usiishie kuwaza kuhusu kutokewa tu,, watu wako kazini humu..
Hivi kwani huko off JF huwa wanaume hawawatokei?

Kwa nini ikiwa ni wa JF inakuwa tofauti? I guess it aint something of a big deal as long as anayekutokea sio roboti ni mtu...na huwa hakuna mipaka ya namna mtu anavutiwa na mtu mwingine

Just saying...
CC Karma

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba ya kitambulisho ulichosajilia hiyo sim card watakuomba na mara nyingi hata kama kitambulisho ndiyo chenyewe watakuambia siyo chenyewe,, halafu wanakuambia nenda whatever shop ukahudumiwe yaani basi tu sijui wanapenda kutuona madukani mwao mule..
Kwahiyo ni mwaka wa kuzaliwa tu?
Maana walinifungiaga namba yangu ya airtel kisa sikumbuki kiasi nilichokuwa nacho airtel money

Sent using Jamii Forums mobile app
 
VodaShop ni ofisi ndogo ya Voda, mostly huwa ni waajiriwa wa Voda...

Customer care ni subcon tu wale, hawana uchungu na kampuni wala wateja...
Namba ya kitambulisho ulichosajilia hiyo sim card watakuomba na mara nyingi hata kama kitambulisho ndiyo chenyewe watakuambia siyo chenyewe,, halafu wanakuambia nenda whatever shop ukahudumiwe yaani basi tu sijui wanapenda kutuona madukani mwao mule..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom