MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,450
- 69,298
Hujambo jamani,....Ndio blaza, hi![]()
Hujambo jamani,....Ndio blaza, hi![]()
Mimi nakuelewa vizuri sana jamani, unaweza fanya jambo ukaona umemfurahisha mzazi, akakuita vizuri mbele za watu unaenda huna hili wala lile weeeee hicho kifinyo sio cha kawaida!!
Yaaani wewe ndo mekuwazia mamangu kabisaa!







😄😄😄😄😄Huyo na mama yangu kabisa ndo zake.
Mimi nakuelewa vizuri sana jamani, unaweza fanya jambo ukaona umemfurahisha mzazi, akakuita vizuri mbele za watu unaenda huna hili wala lile weeeee hicho kifinyo sio cha kawaida!!
Yaaani wewe ndo mekuwazia mamangu kabisaa!
Sijambo, shikamoo!Hujambo jamani,....
AimennnMuhimu ni kwamba kimelika tu.
Tena wa Kyela






Huyo na mama yangu kabisa ndo zake.










Hahahaaha aisee sijawahi kupost bangi napostigi dawa iliyothibitishwa viwango na madaktari konki.
Kumbe ni ugali eeehh
Au nimekosea kwamba wewe siyo mchuchu ??? Usije ukawa linjemba moja hivi.







Kifinyo kingekuhusu vizuri tu.








Tena wa Kyela![]()










Alikuwa ana kucha zake mbili hizo yaani zinachana kama wembe kwenye mapaja 😄😄😄umenikumbusha mbali dear
Malezi ya zamani bana, yalituweka kwenye mstari mmoja!
Nakazia kapelekwe milembe.
Aki wewe ni Chizi