Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Alikuwa ana kucha zake mbili hizo yaani zinachana kama wembe kwenye mapajaumenikumbusha mbali dear




halafu anakufinya huku anatabasamu kabisaa!!Alikuwa ana kucha zake mbili hizo yaani zinachana kama wembe kwenye mapajaumenikumbusha mbali dear




halafu anakufinya huku anatabasamu kabisaa!!Kabisaa jamaniNakazia kapelekwe milembe.



kweli kabisa mkuu,, sasa jamaa leo ndiyo kasonga kitu inafanana na zile 'dawa' ambazo huwa unapost..
Hahahaaha aisee sijawahi kupost bangi napostigi dawa iliyothibitishwa viwango na madaktari konki.



mie mchuchu kabisa
Au nimekosea kwamba wewe siyo mchuchu ??? Usije ukawa linjemba moja hivi.
![]()
Sakayo kuwa uyaone!



yaani naelewa kabisa mimi,, siyo wako tu hata wetu..
Mamangu alikuwa kiboko!!!
Wenu mpole mpaka mnapiga selfie?!
Aisee mama alikuwa mkali kiasi rafiki zangu walikuwa wanavizia kuja nyumbani akiwepo hawatokeihalafu anakufinya huku anatabasamu kabisaa!!
Kwa kweli 😄😄😄Wenu mpole mpaka mnapiga selfie?!










halafu anakufinya huku anatabasamu kabisaa!!
Aisee mama alikuwa mkali kiasi rafiki zangu walikuwa wanavizia kuja nyumbani akiwepo hawatokei







Marhabaaaa mdogo wangu mzuri.Sijambo, shikamoo!
Hajawahi ona mama mkali jamani!!Kwa kweli![]()
Aahh Sakayo umenivunja mbavu,, yaani hadi nimejikuta najaribu kujifinya huku natabasamu nimeishia kucheka kama kichaa..
Sent using Jamii Forums mobile app










😄😄😄😄
Huyo ni mamangu kabisaa jamani!!
Hahaha, nasikia JF wanawake mko 200 tu wengine wote ni manjemba yanajifanya totoz. Humu ndani bwana!!!!







Inatokea baba mpole ila mama mkali.Hajawahi ona mama mkali jamani!!
Yaani akikuita mara moja kabla hujaitika ushafika alipo!










Babangu daaahh!!Inatokea baba mpole ila mama mkali.