Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,222
Oooh!! Hayo ndio maneno shee, ndio maana nakupenda shee wanguKinyume chake shee.. Kwani hujui lugha kinyume?
Jr![]()


Oooh!! Hayo ndio maneno shee, ndio maana nakupenda shee wanguKinyume chake shee.. Kwani hujui lugha kinyume?
Jr![]()


weee mi sikuwahi kuwa nunda shuleni nilikuwa mpole kama Jael,,
lol
Sent using Jamii Forums mobile app






sijawahi kuwa monitress mimi mbona,, nilikuwa mpole mno hata kwa list ya noise makers sikuwahi appear..
Sent using Jamii Forums mobile app



Yaani nimekuwazia ukiwa mpole picha limegoma kabisa![]()
Karibu nyumbani kumenoga!
Ukiwa job ni kukula tuu, nikiwa mkubwa nataka niwe kama wewePia Uji wa ulezi wa maziwa na maziwa fresh vinapatikana asubuhi na jioni
Cc Smart911 View attachment 1295119
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa mkubwa nataka niwe kama weweHahaha, umenikumbusha mtu mmoja alikuja kwangu akakuta vitabu vingi sana.
Akaniuliza, wewe unauza vitabu?
Hapana, ni kwa matumizi binafsi tu.
Najiroga mwenyewe niache kula vitengeUmroge nani?
Au ni wa cc hapa uoneMmmmh!!![]()
Hahahaahsijawahi kuwa monitress mimi mbona,, nilikuwa mpole mno hata kwa list ya noise makers sikuwahi appear..
Sent using Jamii Forums mobile app