Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi top four yangu ya wa zamani ni:
1. Pele
2. Zinedine Zidane
3. Diego Maradona
4. Eusebio

Na top four yangu ya wa sasa ni:
1. Lionel Messi
2. Cristiano Ronaldo
3. Neymar Jr
4. Kylian Mbappe
Dah, four wa muda wote huo ni utata maana ni wengi mno...anyway lemme list em down bila kujali namba...

1. Maradona (nimemuona mwishoni mwishoni)
2. Pele (sijamuona kabisa isipokuwa kwa highlights)
3. Ronaldo de Lima
4. Messi

Wa sasa, ila napo kuna wengi zaidi ya wanne
1. Messi
2. CR7
3. Marcelo (left back ya Madrid)
4. Iniesta

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua nini kaka, European soccer yote ipo kwenye wakati mgumu sio Barca pekee...

Siku hizi hakuna wachezaji vipaji mkuu...

Tazama timu kubwa zinavyo struggle sasa, na mfumo wa academy ni kama miaka ya karibuni umekuwa hauna manufaa

Talents zipo sana tu, hata kwenu. Frenkie na Arthur ni super talents zile, Dembele pia, so hakuna excuse. Uongozi wenu ndio majanga, na udikteta wa kale kajamaa kenu.

Academy pia zinafanya yake kama kawa, ni nyinyi tu mmeamua kuzipuuza ili muone kama mtapata mafanikio kama Real Madrid. Madrid pekee kwa sasa kwenye timu inayoanza ina wachezaji si chini ya 7 waliokuja klabuni wakiwa teenagers au walianzia timu za watoto.
 
😂😂😂 lakini si mimi yule? Emu kwanza nikuone wewe

20191216_114912.jpg
 
Nitake radhi mkuu JF nimeijua kitambo sana,, halafu mie situmiagi mitandao ya kishamba kama FB..

Sent using Jamii Forums mobile app
Dogo leo unaikana fesibuukuu kweli😂😂😂 wakati ww ndio ulikuwa mkali wao kwenye kupost picha zile umejibinua.🙌😂😂

Leo umefunguliwa dunia huku kwa GT unamuona Mark takataka😀
 
Back
Top Bottom