Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463



! Ujue kivuli hakiachagi mtu hata ukikimbia vipi?
Muda wa kukimbizana na kivuli natoa wapi eti jamani


Our Daddy akiii....
Wewe sio wa kumfanyia hivyo
Hahahaa..
Nimecheka! Ujue kivuli hakiachagi mtu hata ukikimbia vipi?
Sent using Jamii Forums mobile app






Kuna siku ulikosa adabu ukasema mie mdogo wako![]()





Cha kwako huwa kinakuacha automatically!
The best avatar.
Nasema hiviii, siwezi kukimbizana na kivuli mwisho wa mwaka jamani
Ako na avatar mob sanaa!
Mimi huyooo....











hauwezi amini fb nimejaribu kuielewa nimeshindwa kabisa ninyi mnasema sijui mmeanza kuichukia kipindi hiki utoto umekuwa mwingi mimi sijawahi kuipenda tangu inaanzishwa,, nikinunua simu nikiikuta naidisable kabisa sitaki hata kuiona kwa apps.. mie niko zangu jf na ig tu
Dogo leo unaikana fesibuukuu kweliwakati ww ndio ulikuwa mkali wao kwenye kupost picha zile umejibinua.
Leo umefunguliwa dunia huku kwa GT unamuona Mark takataka![]()
Hapana, naitaka hii hii.



dah eti vitoto,, tuvipe heshima yao lakini..
Hata hao umetaja nawakubali, isipokuwa hivyo vitoto viwili vya mwisho...
Naomba kama uko na yenye machozi yanapanda juuThe best avatar.
😀😀😀 fumba machoHahahaa..
Daah ! Watu wana arosto na picha za mke wangu as if ni arosto ya beer..
Sent using Jamii Forums mobile app
I feel you




