Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
Aisee
Hi Depal, aisee sijaona picha yako muda kweli.
Aisee
Jana hujaona?Hi Depal, aisee sijaona picha yako muda kweli.



dada,, 


kukusumbua siwezi acha..
Isa Yellow...
Ole wako ukuje nisumbua View attachment 1293854
Dah, four wa muda wote huo ni utata maana ni wengi mno...anyway lemme list em down bila kujali namba...
Mwili wa mdada 😘😘😘Isa Yellow...
Ole wako ukuje nisumbua View attachment 1293854
Umesahau eeehhh, ujue sitaenda na wewe kwa Hazard
Euro basketball huwa sitizami sana...labda game moja au mbili kwa mwaka kwa hiyo huko hata sijui nini inaendelea...hahah
Kaka hakuna wakati nilijua tutashake kama walivyoondoka mchawi Gaucho, Etoo, Xavi na Iniesta but look where we're now...
Hahahahaaha
HayaZipo usijali shemeji
Sent using my 6x6 bed.
Ndio ulikuwaga bado upo Facebook huku ulikuwa hukujui.anha ndiyo kipindi kile 'sirikali' ilichokuwa inawazingua mabosi wetu
Sent using Jamii Forums mobile app
Jana hujaona?
Euroleague, La Liga, Copa, popote ilipo Real Madrid kwa namna yeyote nipo. Hata NBA sasa naifuatilia sana kwa sababu kuna Real Madrid mule.
Kipindi wanaondoka hao jamaa, mlikuwa na system na andunje ndio alikuwa amekuja. Sasa hivi mnajikokota kwa uwezo wa kale kajamaa tu, so mtapata shida sana kakichoka.
Ipi hiyo etii shem
Mmama wa early 2000's 😂😂😂😂😂
,.mimi mmama wewe
😂😂😂 lakini si mimi yule? Emu kwanza nikuone weweUle mkono? Lol kuwa serious basi mama. Duh!