Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Yes darling ...94 it is

Hata World Cup wabongo wengi tulianza ona kwa TV, the same year pia kulikuwa na AFCON ambayo kwa wapenda soka ilikuwa ni AFCON yenye kujaa huzuni na furaha, maana Zambia ambao walitoka poteza timu yao ya Taifa walifika fainali kwa timu mbadala iliyoundwa shaa shaa kwenda kushiriki

Inawezekana tulikuwa na miaka sawa ila nina memory zaidi yako ....

Aki kuna mtu alikusimulia jamani!! Miaka hiyo hata mpira wa makaratasi sijui unachezwaje akii....
 
Back
Top Bottom