binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 16,092
- 44,577
Mwenyewe sijui nimeona comment nimeshtuka.Kwani kuna nini tena jamani? 🙆♀️
Huyu binti aliniokoa, nilitegwa mahali alishtuliwa na mtu naye akanishtua so nataka na mimi kama kuna issue nimsaidie.
Muwe makini humu.