Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mwenyewe sijui nimeona comment nimeshtuka.

Huyu binti aliniokoa, nilitegwa mahali alishtuliwa na mtu naye akanishtua so nataka na mimi kama kuna issue nimsaidie.

Muwe makini humu.
Ulitegwa kivipi? Ni kuhusu humu selfika au kule jukwaa la siasa?

Humu ndani ni kuwa makini, wala sio uongo, mie nawasanua kila siku, ila hawataki kunielewa, nikisema wanakuja na hoja yao ya kila siku kuwa ni homo nawaonea wivu wao.

😂😂😂😂 waache, wakati mbanga za humu karibia 95% nazijua nje ndani.
 
Ile list ya yule mywaji kumbe ilikuwa sahihi binti kiziwi ni mzuri asee 100/100
Hapana Jooo, umechelewa haujaona totoz.

Min me anasema kulingana na picha alizoziona ila kuna za wengine hajaziona.

Watoto wazuriii we umemuona… wote unaowaona kwa huu uzi wameweka picha mi nimeziona ni 10 over 10 minus 0.

Cha ajabu hadi wanaume mahendisamuu 🤣 Mi nimejipatia mmoja ntaanza kumlea soon 😅
 
Mwenyewe sijui nimeona comment nimeshtuka.

Huyu binti aliniokoa, nilitegwa mahali alishtuliwa na mtu naye akanishtua so nataka na mimi kama kuna issue nimsaidie.

Muwe makini humu.
Daah jamani mbona watu wa humu wanakuwa hivi???

Yaan unamchafua mtu ili iwaje? Nipo makini sana Dada hekaheka za JF nazijua ndiyo maana hata Pm yangu nimetia kufuli kubwa

Tupige story tu Jukwaani kila mtu aendelee na hamsini zake
 
Ulitegwa kivipi? Ni kuhusu humu selfika au kule jukwaa la siasa?

Humu ndani ni kuwa makini, wala sio uongo, mie nawasanua kila siku, ila hawataki kunielewa, nikisema wanakuja na hoja yao ya kila siku kuwa ni homo nawaonea wivu wao.

😂😂😂😂 waache, wakati mbanga za humu karibia 95% nazijua nje ndani.
Inasemekana bana kuna kijana aliniweka kwenye target halafu mi kwa uzembe wa kike nikawa namchekea, very naive 🥹 Najua mwana tunakula story kumbe unaambiwa ana ID zaidi ya 10 zote zinakutafuta, chances are usipokuwa makini hata moja inakudaka we si unajua mwana? Halafu anaruka na we jumla jumla.

Sasa jamani mtu unajiuliza kosa langu nini? Watu wabaya tu
 
Back
Top Bottom