Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Haswa kama umeipa nafasi
Wengine had wanahisi kuumwa wasipoingia
Mimi hakuna mtu nayemjua nje ya hapa so i can stay hata mwez na nsifeel kitu zaid ya ombwe la taarifa
Kufahamiana sio shida, ila je unafahamiana na nani? Na kwa lengi gani?

Wapo watu wema na wamenyooka humu. Nina shuhuda.
 
Nlkutana na memba humu huko dongobesh ni chiz fresh nkaja kujua ni mwana jf mwishooni
1789681190687.gif
 
Back
Top Bottom