Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,332
- 176,114
Akuu, huyo hapo. Umtume haraka sana.Hahahahahaha
Wako ako kwa gugo jamani
Akuu, huyo hapo. Umtume haraka sana.Hahahahahaha
Wako ako kwa gugo jamani
Asante auntie wangu mzuri mzuri!!Bora mie sijapitia nyuzi zingine kabisa humu, ni hapa tu.
Pole sana mama.
Ndo inavyokuwaga my dear!!
Mimi sitakagi upuuzi tubishane kwa hoja sio matusi dhihaka na kejeli.. Usinichukie kisa mtazamo... Mimi sikuachi salama lazima nikubanike
Jr![]()








HahahahahahaAkuu, huyo hapo. Umtume haraka sana.
Heading inasemaje?Asante auntie wangu mzuri mzuri!!
Huo uzi niliuona mapema saana nikaupotezea, nikaingia baadae nkakuta pages zimeenda nikasema ngoja nichunguliemo!! Weeeeehhh
Hiyo zawadi niione 25th December
Uhujumu uchumi huo auntie. Haya mmoja namsubiri.Hahahahahaha
Halafu wako wawili
Wewe wanakuogopa kaka!! Sasa kina sisi utaomba pooMimi sitakagi upuuzi tubishane kwa hoja sio matusi dhihaka na kejeli.. Usinichukie kisa mtazamo... Mimi sikuachi salama lazima nikubanike
Jr![]()
Basi utakuwa una fast metabolism. Thank your genetics for that.
Na kwa kweli mazoezi ya mara kwa mara yanahitaji commitment ya hali ya juu.
Pia lazima mtu uwe ni mpenda kufanya mazoezi. Hicho ndo kitachokupa self-motivation.
💪🏿💪🏿







yaani nilikuwa najibu kila comment maana nisipojibu naona kama nitakufa na kijiba cha roho khaa
Nilikuwa nasoma naishia njiani, nikirudi nakukuta umoo, unapovuka balaa!! Hakuna comment inakupita mzee dada!!
Hahah...
Sijui ukiulizwa kwa nini unaoa karne hii utajibu nini!Heading inasemaje?
yaani nilikuwa najibu kila comment maana nisipojibu naona kama nitakufa na kijiba cha roho khaa
Sent using Jamii Forums mobile app













mzazi sasa nimeongea
Walee katika njia ipasayo tu, maana taabu inaanzia kwetu sisi wazazi. Tunachotaka kukiona sicho tunachokipanda kwa watoto wetu na namna gani tunakipanda.
Hahah...mkwe ujue umeenda shule wewe, maneno huwezi soma, picha pia?
Mkwe hebu subiri kwanza, hii emoji inanifanyia ni gani?