Selfika na JF: Snap it. Show it

Tumekusikia Dada,binafsi naanza kujirekebisha.
 
Matusi ndio silaha yao, akishajiona hana hoja anamalizia malezi yake mabovu kwako.
 
like I once used to do,, leo hii naambiwa nimepoa eti watu wamemiss lile jeshi langu la mtu mmoja khaa hapana kwa kweli wanaume wa JF ni vichwa ngumuuuuu
nimeitwa majina yote sijui feminist sijui activist ila haijanibadili kitu wala
Na wameshafurahi mnooo!! Huko kwenye uzi memkuta Hornet anapambana nao mwenyewe!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ulikuwa kiboko ujue!!! Unaandika na ukikomaa na uzi hubandukii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…