Shimba ya Buyenze
JF-Expert Member
- Dec 22, 2014
- 183,582
- 1,105,829
Nimekitamani chakula. U mpishi mzuri sana!Nipe maoni yako kwenye upishi wangu mpendwa.
Nimekitamani chakula. U mpishi mzuri sana!Nipe maoni yako kwenye upishi wangu mpendwa.
Asante sanaNimekitamani chakula. U mpishi mzuri sana!
Me sikuisoma hiyo emoji vizuri; kwa hiyo sisi wa kihonda katuweka kwenye dustbin?Whaaaaaat!! Dust bin[emoji134][emoji134][emoji134]
Me sipendi mazereuNgoja tumsubiri hapa aje atwambie vizuri hizi dharau zimeanza lini[emoji134][emoji134][emoji134]
Cc Watu8
Akuje hapa aseme vizuri, watu wa Kihonda tumemkosea nini?Me sipendi mazereu
Hahah...sasa si naona mlikuwa mnanizingua tuWhaaaaaat!! Dust bin[emoji134][emoji134][emoji134]
@Eli79 unakwama wapi babe[emoji1745][emoji1745][emoji1745]wale tuliojipanga kufanya matembezi ya mapumziko(vacation) maeneo mbalimbali nchini katika kipindi hiki cha sikukuu za mwisho wa mwaka, tujuane.
hapa ni dongwe beach zanzibar.
GIF kwa hisani ya rafiki yangu ambaye yeye na mke wake mtarajiwa wapo zanzibar mda huu katika mapumziko.
View attachment 1292240
Nimekitamani chakula. U mpishi mzuri sana!
Haya wale wa Mji Mkongwe ,mashambani, Michenzani ,Hotel Verde ....tutafutane tule bataaaaaaView attachment 1292177
MTC | 101| [emoji769]
Me sikuisoma hiyo emoji vizuri; kwa hiyo sisi wa kihonda katuweka kwenye dustbin?
Comments zenu ndio niliweka huko...Ngoja tumsubiri hapa aje atwambie vizuri hizi dharau zimeanza lini[emoji134][emoji134][emoji134]
Cc Watu8
Huh!![emoji134][emoji134][emoji134]Comments zenu ndio niliweka huko...
Haya hebu tuanze upya kuandika vitu vizuri vizuri
Nakazia.