Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 31,675
- 90,478
Punguza uzibe mkuu🤨View attachment 3664417tu chati na picha
Baada ya Jana kuchapwa 4-1
Haya chino fanya kama mwenzio , unaona wanaume hawanaga maneno mengi😎
Punguza uzibe mkuu🤨View attachment 3664417tu chati na picha
Baada ya Jana kuchapwa 4-1
Uzibe upi?Punguza uzibe mkuu🤨
Haya chino fanya kama mwenzio , unaona wanaume hawanaga maneno mengi😎
Unaziba sana uso,Uzibe upi?
Lipa
Chino wangu 😍Hahaha;
Maana Kuna baadhi ya watoto kua nao sometime hela pia inaweza isifanye kazi!! ni consistency, confidence na akili.
Sasa navyo kupicture inahitaji ustahimilivu sana!! Inawezekana hata jf wengine wapo hata miaka 5 wanakusarindia tu.
Kama Mimi kwa Lamomy mwaka wa 6 huu.
Kuna mpya gani kwani? 😹😹Mda wowote katibu wako anaweza ibuka; sijui harufu ya damu hua inamfikia mpaka huko alipo. Haha inabidi nije nimuulize
Wog umeamua kujiita Tina 😹Hahaha
Atakuja tu sijamuona hili wiki
😆
Hii ndo user name yangu nimeirudisha tuWog umeamua kujiita Tina 😹
Haya mnipe samaree twende sawa..!!
Kila napokuona hua nashikwa na kigugumuzi na kosa hata Cha kusemaChino wangu 😍
Mvumilivu hula mbivu ujue…!! 😹
Haha Christine_1 unakumbuka nilikuambiaje!Kuna mpya gani kwani? 😹😹
Ndiomana roho inaruka ruka kumbe huku tayari.?? Haya kina nani tena wameyabananga??
Kuna wakati tunahitaji ku realise stress. Kuna wakati tunahitaji kufanya jambo jipya. Kuna wakati tunahitaji kuona kitu kipya.
Kuna wakati HATUHITAJI kusoma post zenye kutafakarisha. Kuna wakati tunakuwa wavivu kujibu hoja kwa maandishi ama kuchangia. Solution hii HAPA sasa. Utashangazwa na matokeo yake...!!!
Utajikuta kwenye ulimwengu wa furaha isiyo kifani. Fanya hivi, hapo ulipo tupia picha yako ya sehemu yoyote mwilini. Epuka picha yenye kuonesha sura kwa sababu za wazi kabisa. Mimi nitaaza na hizi.
Hujachelewa bado MkuuNipo jamaangu,
Natumai sijachelewa au vipi?
Safiii🔥🔥🔥View attachment 3664417tu chati na picha
Baada ya Jana kuchapwa 4-1
Sawa🥰Inbox wizo
Yaani hadi tamaa mwenyewe kaanua kujikataLeo unakabia sana😂
Haya nasubiriUnaziba sana uso,
Namalizia kuedit kushundu hapa
LipaSafiii🔥🔥🔥
Jamani saa moja nakutag😎Yaani hadi tamaa mwenyewe kaanua kujikata
Nimesubiri wewe
Holaa
Saa Moja sitakuwepo🥹Jamani saa moja nakutag😎
Jamani sasa si hata nikae nisijekosea nikaweka ya uke🙆🏽♀️Saa Moja sitakuwepo🥹