Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,859
- 43,768
😁😁😁I mean Enzi zako!! Ulikwepa mishale mingi sana!! Ungewaachia vijana wa ovyo! Izo nguo zingekua hazikai kama zinavokaa.
We unakutana nakitoto Cha miaka 19 Kila kitu kimeshafanya kwenye dunia! Imagine kwenye umri wake wa 30 uko.Atakuwaje
Mi sikuhizi naamkiwa na mabinti wengi tu ila Kuna mda naona mbona hawa ni wazee kama Mimi tu ila kihuhalisia ni wadogo sana
Noma sana, ulo sahihi
Ukweli ni kwamba ngono inazeesha/inachosha hasa imiwa unalala na watu wengi tofauti...sex ni transaction ya energy na mambo mengine ss u can imagine ....
Plus life lilivyo tight unakuta mtu kwa umri huo anakua amechoka tofauti na umri ....
Mungu ametusaidia kwakweli I think pia kua na Uhusiano na mtu 1 kwa muda mrefu inasaidia sn kuto ruka ruka....
Lkn pia kuna muda ku-abstain jmn unakaa zako ht 2,3, 4yrs fresh tu yaani mwili unakaa vzr sn