Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 78,819
- 235,991
Yaani sasahivi hadi nimechoka na kuongea Dada yenu🙆♀️🥹Tunamalizia kuweka kamguu kenye nyama dyadya
Yaani sasahivi hadi nimechoka na kuongea Dada yenu🙆♀️🥹Tunamalizia kuweka kamguu kenye nyama dyadya
Usichoke ndio ukubwa huo dada hapo bado hatujakuchafulia hata nyumba 😂Yaani sasahivi hadi nimechoka na kuongea Dada yenu🙆♀️🥹
Ntawachapa 😂😂😂😂😂yaani muda wote huu kweli nawaomba tu pichaUsichoke ndio ukubwa huo dada hapo bado hatujakuchafulia hata nyumba 😂
Hahaha;🤪🤪🤪umeona wapi hawakati tamaa
Na pesa zangu za madafu ntatoboa kweliMimi naomba na siwazi wala nini we omba ela mama
Nkamu hadi leo amekaza?Hahaha;
Maana Kuna baadhi ya watoto kua nao sometime hela pia inaweza isifanye kazi!! ni consistency, confidence na akili.
Sasa navyo kupicture inahitaji ustahimilivu sana!! Inawezekana hata jf wengine wapo hata miaka 5 wanasarindia tu.
Kama Mimi kwa Lamomy mwaka wa 6 huu.
Mambo ya yuroMimi naomba na siwazi wala nini we omba ela mama
Nipmbe kwa nani?Mimi naomba na siwazi wala nini we omba ela mama
HahahaHahaha;
Maana Kuna baadhi ya watoto kua nao sometime hela pia inaweza isifanye kazi!! ni consistency, confidence na akili.
Sasa navyo kupicture inahitaji ustahimilivu sana!! Inawezekana hata jf wengine wapo hata miaka 5 wanakusarindia tu.
Kama Mimi kwa Lamomy mwaka wa 6 huu.
Bado ana ni assess ndo miaka 6. Nisaidie ongea na nkamu wakoNkamu hadi leo amekaza?
Ok poa nasubiriHahaha
Ngoja nikutag uzi 1 usome
Ungeweka picha hapa angalau ningekupambania chapBado ana ni assess ndo miaka 6. Nisaidie ongea na nkamu wako
hahahahahahaUngeweka picha hapa angalau ningekupambania chap
Ila bila picha endelea kusugua bench .
Mi mwenyewe mzee jamani tuvumiliane😅Ntawachapa 😂😂😂😂😂yaani muda wote huu kweli nawaomba tu picha
Hamuoni huruma kuwa mnanitesa mimi Mzee
Ulishatoboa bana we tulia hukohuko, huku ndio kama hivyoNa pesa zangu za madafu ntatoboa kweli
Ni kuwatapeli tuMambo ya yuro
Kwa yoyoote tu atakayekuja kichwani harakaharaka 😂Nipmbe kwa nani?
Coca wetuHello wana selfika, nimewa mic sana, 😘
Nimeyatimba; maninah.Ulishatoboa bana we tulia hukohuko, huku ndio kama hivyo