Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hizi mechi za nje sikuhizi sichezi kizembe Kila gemu naindea kama fainal.

Ishu usipo ichapa vizuri sasa hivi utajikuta kwenye duku duku la pipytida
Kumbe Hadi weye wamfatilia pipi mnywani yule dada akili zake anazijua mwenyewe!
 
Mie nna 85…
Ila kuna method huwa natumia nikitaka kupungua ni chap tu..

Asubuhi mazoezi ya ku stretch mwili kwa 15min zinanitosha baada ya hapo shots moja ya ginger+turmeric fresh.. naweka na asali kidogo tu..

Nikioga nikimaliza maji yangu nusu lita au karibia lita ndio naenda mihangaikoni…
Mchana nahakikisha nimekunywa 1ltr ya maji hapo nakula ndizi moja baadae nakula chakula kawaida tu au chochote nachotaka

KULA MWISHO SAA 11:30 jioni!! Baada ya hapo ni mwendo wa maji mpaka nalala..
Nikifanya hivyo wiki 4 tu napinguza kilo za kutosha..

Yani in short nakula mchana tu.. masaa mengine yanakua water fasting
Okay
Ni nzuri pia...haya Mahondaw
Mi nikitaka kupungua faster
Life styl yangu ina fasting sn ...
Now najiachia ila October tuna prayer n fasting so lzm kupungua
Na Seran kazi kwenu
Mtachagua
 
Hahaha; no.
Nilikuwa outshined sana mara kwanza nikasema hizi ni dharau.

Wiki nzima nikiwa natafuta stamina!
Ilo seke seke la mara ya pili mtoto hakutumwa dukani.

Na vyumba vyetu vya uswahilini si unajua tena ila mi sikujali nikasema vita ni vita muraa
Aanh haya mambo yenu wenyewe mnayaweza aisee😂🙌🏾
 
Back
Top Bottom