Kapachino
JF-Expert Member
- May 23, 2019
- 3,632
- 9,052
Na siku za mwanzoni mwamba achezi mbali sana akitembea sana kasogea seblenAah we famchezo nn😁
Na siku za mwanzoni mwamba achezi mbali sana akitembea sana kasogea seblenAah we famchezo nn😁
Ndokwanza katikati ya siku saa saba mchana wa jua kali balaa mjuee!!Kazi yenye inaambatana na utelezi wake😄
Anhaa..Kwa mie inanisaidia sbb nina ulcers
Namfumua vizuri tu! Sili urojo mie😎Nishakinda sana!!
Kwa menu hiyo kijana wa dar akiingia kwenye mfumo si utamchakaza sana!!
Dahh sipendi haya mambo mimi😫Na siku za mwanzoni mwamba achezi mbali sana akitembea sana kasogea seblen
Yes , water therapy huijui??Maji ya kunywa?????
Ifikie hatua Mimi niache kula mimi navopenda kula??☺
😄😄😄😄😄😄😄
Ndo muda muafaka wa kupunguza stress za kazi za watu. Saa nane kichwa kinarudia moto mpaka jioniNdokwanza katikati ya siku saa saba mchana wa jua kali balaa mjuee!!
Ina kazi nyingi snAnhaa..
Naamini haiishii hapo tuu..
Baada ya mazoezi usinywe maji kwanza utakufa kwa hiyo njaa yake😂 kula kwanza ndizi irudishe nguvu then baada ya muda kidogo ndio unywe hayo maji yako..Asante sana nilisikia hio sikuzingatiaga sana kumbe. Ndizi nakula katika mpangilio upi??
Yani ile hali ya jana sitaki hata kuisikia ilikuwa hatari sana.
Hebu nibless uvonenepa nione wengine mnanenepaga vizuri mimi sasa najaa juu na kitambi tu kha!!
Naijulia wapi lasabaD mie mamchuYes , water therapy huijui??
Peke yake unapungua
Ila ya kawaida kabisa ya kunywa yasiwe ya moto tumia kabla hujala
Imagine asbuhi unywe maji ...unadhani utakua na hamu ya chai???utakula lkn muda unavyoendq utapunguza kula
Uko tayari kuziweka hapa au tukusubiri jua lizame😄Ina kazi nyingi sn
Kapicha ka ndizi ama nini😂Kipicha cha kusindikizia mkuu
Uko tayari kuziweka hapa au tukusubiri jua lizame😄
Utasikia kichwa kinauma mie!!Namfumua vizuri tu! Sili urojo mie😎
Shukran sana!Baada ya mazoezi usinywe maji kwanza utakufa kwa hiyo njaa yake😂 kula kwanza ndizi irudishe nguvu then baada ya muda kidogo ndio unywe hayo maji yako..
My dear huwa nanenepa kuanzia kichwa mpaka miguu😂😂😂
Kwanini nigoogle wakati encyclopedia upo
Unazingua hahahNaijulia wapi lasabaD mie mamchu
Asante kwa mwongozo!!
Hata ka kiganja tu mkuuKapicha ka ndizi ama nini😂
Ndiomaanake! Kwanza mie muda wote nimechoka😌Utasikia kichwa kinauma mie!!
Kumbe kashapima maji ya kina kirefu haya!!
Yashawahi Nikuta huko nyuma
Km anafanya na mazoezi kazi kwakeBaada ya mazoezi usinywe maji kwanza utakufa kwa hiyo njaa yake😂 kula kwanza ndizi irudishe nguvu then baada ya muda kidogo ndio unywe hayo maji yako..
My dear huwa nanenepa kuanzia kichwa mpaka miguu😂😂😂