Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Km anafanya na mazoezi kazi kwake
Mi sijawahi fanya mazoezi😆
Sahivi nimejiachia nifike 75
Mie nna 85…
Ila kuna method huwa natumia nikitaka kupungua ni chap tu..

Asubuhi mazoezi ya ku stretch mwili kwa 15min zinanitosha baada ya hapo shots moja ya ginger+turmeric fresh.. naweka na asali kidogo tu..

Nikioga nikimaliza maji yangu nusu lita au karibia lita ndio naenda mihangaikoni…
Mchana nahakikisha nimekunywa 1ltr ya maji hapo nakula ndizi moja baadae nakula chakula kawaida tu au chochote nachotaka

KULA MWISHO SAA 11:30 jioni!! Baada ya hapo ni mwendo wa maji mpaka nalala..
Nikifanya hivyo wiki 4 tu napinguza kilo za kutosha..

Yani in short nakula mchana tu.. masaa mengine yanakua water fasting
 
Back
Top Bottom