Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hahahah ulitaka umbake🙆🏽‍♀️
Hahaha; no.
Nilikuwa outshined sana mara kwanza nikasema hizi ni dharau.

Wiki nzima nikiwa natafuta stamina!
Ilo seke seke la mara ya pili mtoto hakutumwa dukani.

Na vyumba vyetu vya uswahilini si unajua tena ila mi sikujali nikasema vita ni vita muraa
 
Mie nna 85…
Ila kuna method huwa natumia nikitaka kupungua ni chap tu..

Asubuhi mazoezi ya ku stretch mwili kwa 15min zinanitosha baada ya hapo shots moja ya ginger+turmeric fresh.. naweka na asali kidogo tu..

Nikioga nikimaliza maji yangu nusu lita au karibia lita ndio naenda mihangaikoni…
Mchana nahakikisha nimekunywa 1ltr ya maji hapo nakula ndizi moja baadae nakula chakula kawaida tu au chochote nachotaka

KULA MWISHO SAA 11:30 jioni!! Baada ya hapo ni mwendo wa maji mpaka nalala..
Nikifanya hivyo wiki 4 tu napinguza kilo za kutosha..

Yani in short nakula mchana tu.. masaa mengine yanakua water fasting
Ndomana una mwili mzuri Hongera sana
 
Apateeeeee. Nimepata
Seran Kapachino Christine_1 Brian Spilner mnapitwa na mibaraka hukuuuuuuu🗣🗣🗣🗣🗣🗣

Mtromtroooo mashallaaahhh 🔥🔥🔥 una mwili mzuriiiii sanq jamanii! Stake zakushatroooo

Hakika mchana wangu umekuwa mzuri sana

Wabheja sana
Leo nimejua kwanini vijana hawakauki nyumbani kwa mjukuu, kweli yaliyomo yako 🤭
 
Back
Top Bottom