Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,318
- 42,260
Sex ni transactionNaomba kuuliza swali, hivi uzinifu nao unaongeza mwili si ndio?
Kuna vitu unapokea spiritual na physical....mwili ni chakula na kuridhika tu
Sex ni transactionNaomba kuuliza swali, hivi uzinifu nao unaongeza mwili si ndio?
Sio snSanaaaa….
Huwa unafuatilia hallelujah challenge?
Yani nimechukua boda chap kuja kula😂Mdogo Mdogo utazoea . Hivo kwa bakuli ninini????
Naulizia kuhusu physical,Sex ni transaction
Kuna vitu unapokea spiritual na physical....mwili ni chakula na kuridhika tu
Aisee nyie acheni tu😂Kutoa ushauri "santaimu" jau sana 😅 unajipindaa na mwandikoo halafu ndio haya 🤣
We bwana bugia tu tu chochote...hadi embe ng'ong'o 🤣Aisee nyie acheni tu😂
SI imerudi kama zamani autimaticMwaka wa 7 sasa sicheki😎
Weeee una mpango wa kupungua kweli wewe☺☺☺☺😸!!!Yani nimechukua boda chap kuja kula😂
coco pops na maziwa🤣
Aisee naacha kimoja kimoja😎We bwana bugia tu tu chochote...hadi embe ng'ong'o 🤣
Ngoja nikipima oil NtakwambiaSI imerudi kama zamani autimatic
Mi nakujua wewe ni master!! Kina bi chau wakasomeSio zote zingine zinaketa machunusi😂
Aisee, jumatatu nitaanza nitakunywa maji mpaka yajae mwilini!😬Weeee una mpango wa kupungua kweli wewe☺☺☺☺😸!!!
Mi mchana nimekula sio kidogo kiviiiile kwambali sijashiba ila sijaongeza
Nikifika nyumbani nakazia matunda
najua mwanzo mgumu ila ntazoea
Sio hivyo sasa mwanaume ana kishuzi matokeo yake nini😂Mi nakuja wewe ni master!! Kina bi chau wakasome
Amen!!!Sex ni transaction
Kuna vitu unapokea spiritual na physical....mwili ni chakula na kuridhika tu
Sio zote …. Za mwingine zinakufanya vibaya ila usipokutana nae unakua poa tuu kimbembe ukutane nae.. mi yashanikuta naelewaKifupi ni zinastawisha cc Seran
Rangi ya ngozi, nina sauti ya kutongoza😂 hapo sijatabasamu mbona utasahau ulichotaka kusema😂 nikipiga kitu changu katikati ya joint ya goti hilo guu weee😂 hunyimwi vyote bwanaa na jicho zuri lipo kweli😂😂Yatakua ni macho tu hayo.
Ukichanganya na huba ndio kabisa…Jamani kuna aina wananenepesha wenzao kama sifa wakati wao wako vilevile😫
Oh mi piaSio sn
Ila niliona post yake anataka kuja tz
Kwa hizo shot zote!! Kunyofoka ni ngumu ama kweliRangi ya ngozi, nina sauti ya kutongoza😂 hapo sijatabasamu mbona utasahau ulichotaka kusema😂 nikipiga kitu changu katikati ya joint ya goti hilo guu weee😂 hunyimwi vyote bwanaa na jicho zuri lipo kweli😂😂