Christine_1
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 30,380
- 42,453
Jikubali mdogo anguEti eeh? Basi sawaa acha niwe mvumilivu!
Ila punguza kilo kidogo tena bila stress
Jikubali mdogo anguEti eeh? Basi sawaa acha niwe mvumilivu!
Aisee, sitaki familia sasa🥹Hasa ukiwa hauna familia ila ukiwa na familia kuna muda utake usitake unezalala na viatu☺!
Weee Umeanza lini ukorofi mamchu lakini??? Acha hizooooNasubiri na nyie mpite hahah
Sawa dadaakeJikubali mdogo angu
Ila punguza kilo kidogo tena bila stress
Hii ya kitambo kweli na mimi nitairudisha yangu;Na mie nimerudi kwenye user name yangu bana
Hahah
😄😄😄😄😄😄😊 Usogope hahahAisee, sitaki familia sasa🥹
Sitaki makelele mimi😅😄😄😄😄😄😄😊 Usogope hahah
Hahaha yule mtunza ma file mpaka aje akupitishe!! Kazi ipo.Yule katibu wangu hana tatizo
Ila mpk akupitishe 😆😆😆
Nimecheka ujue ..pole jmnChristine_1 Seran jana nilianza zoezi sema vinaleta njaa balaa sijui ndo katika kutibu loh!!
Jana Asubuhi saa 1 nilikunywa kikombe cha majimoto niliweka asali si nikaunga nakumeza vitunguu saumu weeehhh saa mbili tu nilisikia njaaa kama sijala mwaka mzima . Ilikuwa njaaaa kali sana plus kichwa kiliumaaa hadi kizunguzungu.. Pembeni kulikua na kaduka nikanunua andazi nakuanza kula huku natembea barabarani 👐👐👐
Unanikumbusha mboli! Kitu cha toborwa aka michembeHaiyaa karibuni rachi🌝View attachment 3662440
Sina ht oicha mpyaWeee Umeanza lini ukorofi mamchu lakini??? Acha hizoooo
SamalekoNimecheka ujue ..pole jmn
Mi huwa situmii maji kipenzi
Asali naila km ilivyo ...nakaq km nusu saa ndo nae delea na vingine....ila km unataka kutumia maji tumia ya kawaida kabisaa wala yasiwe ya moto....
Pia hizo punje ni 3 tu tena vile vya kienyeji usitumie yale makubwa meupe ya kichina.....
Na badala ya maji u aweza tumia juice ya bamia mbona haina test ni km maji tu....labda vile inavyoteleza watu wanapata shida ila baadae u azoea....
I wish melo angeweka options ya voice note jmn
Asante kwa mwongozo mamchu! Am trying ntaleta mrejeshoNimecheka ujue ..pole jmn
Mi huwa situmii maji kipenzi
Asali naila km ilivyo ...nakaq km nusu saa ndo nae delea na vingine....ila km unataka kutumia maji tumia ya kawaida kabisaa wala yasiwe ya moto....
Pia hizo punje ni 3 tu tena vile vya kienyeji usitumie yale makubwa meupe ya kichina.....
Na badala ya maji u aweza tumia juice ya bamia mbona haina test ni km maji tu....labda vile inavyoteleza watu wanapata shida ila baadae u azoea....
I wish melo angeweka options ya voice note jmn
Unajua maji tu peke yake unaweza oungua vzr snAsante kwa mwongozo mamchu! Am trying ntaleta mrejesho
Ndonini kukata hivi wee babu lakini?? Umecrop sana!View attachment 3662441Bora tulitunza picha zetu za mwaka 47, vinginevyo vijana wangeendelea kutupinga tu babu zao 🤗
Hello Thursday 🥂