Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 74,545
- 183,802
Umekua uswahili lini mnywani aliyekuambukiza uswazi mwambie haendi mbinguni!Mambo naked kabisa mnywani usijali zitakuja za kutosha
Ukitupia nistuee mnywani
Umekua uswahili lini mnywani aliyekuambukiza uswazi mwambie haendi mbinguni!Mambo naked kabisa mnywani usijali zitakuja za kutosha
Kabiiiiiiisa mnywani yuko vizuri.Mtoto kanyooka sana!!
Siku nyingine kula ndizi mbivu😁Christine_1 Seran jana nilianza zoezi sema vinaleta njaa balaa sijui ndo katika kutibu loh!!
Jana Asubuhi saa 1 nilikunywa kikombe cha majimoto niliweka asali si nikaunga nakumeza vitunguu saumu weeehhh saa mbili tu nilisikia njaaa kama sijala mwaka mzima . Ilikuwa njaaaa kali sana plus kichwa kiliumaaa hadi kizunguzungu.. Pembeni kulikua na kaduka nikanunua andazi nakuanza kula huku natembea barabarani 👐👐👐
Wife material kabisa Christine_1Kabiiiiiiisa mnywani yuko vizuri.
Asante sana nilisikia hio sikuzingatiaga sana kumbe. Ndizi nakula katika mpangilio upi??Siku nyingine kula ndizi mbivu😁
Ila mnanihamasisha nianze mazoezi… nimekua kibonge
Mnoooooo mnywani! Afu hana uswahilii kabisaWife material kabisa Christine_1
Kipicha cha kusindikizia mkuuSiku nyingine kula ndizi mbivu😁
Ila mnanihamasisha nianze mazoezi… nimekua kibonge
Nakaziaaaaaaaaa!! Mama pretty do the needful mchana wetu uanze vizuri pulllliiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiizzzzzzzzzKipicha cha kusindikizia mkuu
Basi ni mwili umezoeachini ya hapo ndo naamka nimechoka
Karibu mkuuSanto sana kwa mwongozo!! Be blessed
Mimi vyote sivitaki, mgongo nyumba😅Safi sana ngoja tuone hali itakuaje afu mi kitambi ndo kinachonichosha!
Nataka nianze kujaribu hii ya kulala masaa nane na kuendelea nione impact yakeBasi ni mwili umezoea
Wee Uko vizuri mbona labda kupungua kidogo tu uko vizuri lamamaMimi vyote sivitaki, mgongo nyumba😅
Inasaidia, unafanya mambo yako akili ikiwa imetulia..Nataka nianze kujaribu hii ya kulala masaa nane na kuendelea nione impact yake
Eti eeh? Basi sawaa acha niwe mvumilivu!Wee Uko vizuri mbona labda kupungua kidogo tu uko vizuri lamama
Hasa ukiwa hauna familia ila ukiwa na familia kuna muda utake usitake unezalala na viatu☺!Inasaidia, unafanya mambo yako akili ikiwa imetulia..
Na mie nimerudi kwenye user name yangu banaHapana ni churchgirl tayana wog a.k.a Christine_1
Nimeona mamchu! Vipi hauna ka blessings hapo unibles jua lipunguze kunipiga mamchu??!!Na mie nimerudi kwenye user name yangu bana
Hahah
Ndivo hivo tena!! Bado Kuna nafasi tatu ziko wazi.Nyie hivi
Au sio
Sema ndo hivyo tena😆😆😆🙌