Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Christine_1 Seran jana nilianza zoezi sema vinaleta njaa balaa sijui ndo katika kutibu loh!!

Jana Asubuhi saa 1 nilikunywa kikombe cha majimoto niliweka asali si nikaunga nakumeza vitunguu saumu weeehhh saa mbili tu nilisikia njaaa kama sijala mwaka mzima . Ilikuwa njaaaa kali sana plus kichwa kiliumaaa hadi kizunguzungu.. Pembeni kulikua na kaduka nikanunua andazi nakuanza kula huku natembea barabarani 👐👐👐
Siku nyingine kula ndizi mbivu😁

Ila mnanihamasisha nianze mazoezi… nimekua kibonge
 
Siku nyingine kula ndizi mbivu😁

Ila mnanihamasisha nianze mazoezi… nimekua kibonge
Asante sana nilisikia hio sikuzingatiaga sana kumbe. Ndizi nakula katika mpangilio upi??

Yani ile hali ya jana sitaki hata kuisikia ilikuwa hatari sana.

Hebu nibless uvonenepa nione wengine mnanenepaga vizuri mimi sasa najaa juu na kitambi tu kha!!
 
Back
Top Bottom