Ambition plus
JF-Expert Member
- Feb 23, 2018
- 7,088
- 13,515
Mapema yote hii?Ulale salamaš
Ndio kwanza nimefika mkuu
Mapema yote hii?Ulale salamaš
Tena nyie watu wa zamani ndio watu wa bad sana!! Kila kitu mmefanya mnawachora madogo tu.Wala mzee mwenzio mi old schoolš
Sema na kina piptydaš
Tumekesha masaa ma5 hapa, kesho uwahišMapema yote hii?
Ndio kwanza nimefika mkuu
Inshallah nikipata nafasi,Tumekesha masaa ma5 hapa, kesho uwahiš
Kesho ntakusimlia vizuri jinsi nilivyokuwa mtoto mwema! Sio mtoto mbad kabisa!Tena nyie watu wa zamani ndio watu wa bad sana!! Kila kitu mmefanya mnawachora madogo tu.
Christine_1 achana na seran utaniambia nikuchukulie ngapi
Subiri mwakani majira kama hayašNimepitwa loo
Doh si nmepitwa na kapicha
Unalala sana mkuušDoh si nmepitwa na kapicha
Ndo starehe yangu kuuUnalala sana mkuuš
Kumbe tupo wengiNdo starehe yangu kuu
Naweza kulala kwa niaba ya taifa š¤£šKumbe tupo wengi
Sawa mkuuNdo starehe yangu kuu
Hahaha š šNaweza kulala kwa niaba ya taifa š¤£š
Sipendi kulalaš„¹Naweza kulala kwa niaba ya taifa š¤£š
Sema kweli? WhySipendi kulalaš„¹
Acha hizoooo mamchu!Asiyekuwepo na lake halipo
Hahaa
Nakuaminia mamchu hunaga mbambambaaa na sio muoga kabisa.Hahaa nitaangalia
Labda badae aneza tupia ngoja tuone.Amegoma aisee..
Labda tumvizie ile mida