Pole sana wewe unaona mimi yupi?Hv kati ya picha zote ulizopost humu, ww n yupi kati yao?
Kumbe unataka kupelekwa mjini? 😹😹Hapana ntakutumia pm ili uzitume humu mana Naskia unajua sana kuwapeleka watu mjini, na mm nataka kwenda mjini daslamu
Duh hongera , ziivyo bei ssNatumia product za Olay kuanzia lotion mpaka shower gel
AsanteMnaoselfika kuweni makini humu, picha zenu zinareflect taarifa muhim. Unaposelfika hakikisha background ni white na black hii inaficha location. Msiweke picha zilizo na picha za mijengo au mazingira. Weka filter kidogo you now at safe hand.
VView attachment 3603488
😂😂😂,aisee🙌Wameanzaa kukuvagaa na kidoti na hizo Dimpooz. Ni fake Mlongo.
😂😂😂 woiiiiih
Mm nampendaAnapendwa nani sasa mwenye akili timamu mpaka niumie? 😹😹😹
Nasikia tu Pawa Mabula, Pawa Mabula. Pawa Mabula ni nani kwenye uzi huu? Na hicho cheo alikipataje? Ni compliment kwa maana ya kwamba ana maguvu sana au ni diss kumaanisha kuwa ni kibonge kupitiliza? Why?Raha ya tako liendane na mwili buanaaa 😹😹
Haya post traco lako tuone nyoko weeh
Unashinda kufanya diet upate mwili km huu na huupati ng’oo pawa mabula 🤣😹😹

Sema Nini,pahala kwenye wanawake zaidi ya ya wawili,hakukosi jambo,Nasikia tu Pawa Mabula, Pawa Mabula. Pawa Mabula ni nani kwenye uzi huu? Na hicho cheo alikipataje? Ni compliment kwa maana ya kwamba ana maguvu sana au ni diss kumaanisha ni kibonge kupitiliza? Why?
Estugo selfika chapuHumu bhana🙌
Anza wewe,sijawahi kukuona.Estugo selfika chapu
Mimi ni mlevi tu ,wewe fanya chapu kabla bia yangu haijakataAnza wewe,sijawahi kukuona.
Mie pia ni mlevi,tupia kabwa hawajaninyang'anya hii chupa ya saba.Mimi ni mlevi tu ,wewe fanya chapu kabla bia yangu haijakata
Sikupendi tena , halafu nilianza kushindwa kuishi bila weweMie pia ni mlevi,tupia kabwa hawajaninyang'anya hii chupa ya saba.
😭,nipende.Sikupendi tena , halafu nilianza kushindwa kuishi bila wewe
Nimeshaanza kukupenda jioni ya leo , ila nimeahirisha sasa😭,nipende.