Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Mnaoselfika kuweni makini humu, picha zenu zinareflect taarifa muhim. Unaposelfika hakikisha background ni white na black hii inaficha location. Msiweke picha zilizo na picha za mijengo au mazingira. Weka filter kidogo you now at safe hand.
V
Screenshot_2026_0608_105350.jpg
 
Humu picha zangu nimeweka sana mwaka juzi, wote wananijua sina tako nimepigwa pasi, juu mnene chini mwembamba.

Kwanini unatupa mafumbo kuna shida gani?
Sifa za kidoti ulizomwaga jana bwana wasenge wamepita nazo na hata hawajaona kitu! Mbongo mpe heading ndio kakusanya kamati hapo naona anawasimlia jinsi kilivyo fake😁
 
Mnaoselfika kuweni makini humu, picha zenu zinareflect taarifa muhim. Unaposelfika hakikisha background ni white na black hii inaficha location. Msiweke picha zilizo na picha za mijengo au mazingira. Weka filter kidogo you now at safe hand.
VView attachment 3603488
Ahsantee kwa Elimu na ujuzi huu. 👏👏
 
Mnaoselfika kuweni makini humu, picha zenu zinareflect taarifa muhim. Unaposelfika hakikisha background ni white na black hii inaficha location. Msiweke picha zilizo na picha za mijengo au mazingira. Weka filter kidogo you now at safe hand.
VView attachment 3603488
Bora umetusanua maana kuna watu wana kibarua kigumu humu sijaona!🙌🏾
 
Sifa za kidoti ulizomwaga jana bwana wasenge wamepita nazo na hata hawajaona kitu! Mbongo mpe heading ndio kakusanya kamati hapo naona anawasimlia jinsi kilivyo fake😁
Ukiona ugomvi upo serious sana kama wewe ndo chanzo ni vizuri kurekebisha ulipokosea ili maisha yaendelee.
Kama wewe sio chanzo basi piga kimya kumuepusha shetani mambo mengine yaendelee.
 
Back
Top Bottom