Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Ujue Wala sikuzaliwa na dimples,ukubwani zimenipata aisee,kwenye family yetu kuanzia mama sote tunazo😁
Ulikua nazo toka utotoni ila hazikua zinaonekana,
Ila kidoti ni km sunzua eeh? Kuna mtu kimemuota ukubwani ila yeye chini mdomo hapendii, anasema kimekaa pabayaa.
😂😂😂
 
Najionea mauzauza watu kukukazania mwanaume wakati pisi kali. Kisa unatetea upinde unaonekana mmoja wao..!! Tatizo hawakujui 😹😹😹
Mahii Watu wananijua kuliko wewee, 😂😂😂
Sasa mie niko wazi wazi, wao wanajificha, wanaogopa nini?? Mtu Ujiaminiii bhanaa.
Aloooh.
KUJIAMINIII hoyeeeee!! 😂😂😂😂
 
Mnaoselfika kuweni makini humu, picha zenu zinareflect taarifa muhim. Unaposelfika hakikisha background ni white na black hii inaficha location. Msiweke picha zilizo na picha za mijengo au mazingira. Weka filter kidogo you now at safe hand.
V
Screenshot_2026_0608_105350.jpg
 
Humu picha zangu nimeweka sana mwaka juzi, wote wananijua sina tako nimepigwa pasi, juu mnene chini mwembamba.

Kwanini unatupa mafumbo kuna shida gani?
Sifa za kidoti ulizomwaga jana bwana wasenge wamepita nazo na hata hawajaona kitu! Mbongo mpe heading ndio kakusanya kamati hapo naona anawasimlia jinsi kilivyo fake😁
 
Mnaoselfika kuweni makini humu, picha zenu zinareflect taarifa muhim. Unaposelfika hakikisha background ni white na black hii inaficha location. Msiweke picha zilizo na picha za mijengo au mazingira. Weka filter kidogo you now at safe hand.
VView attachment 3603488
Ahsantee kwa Elimu na ujuzi huu. 👏👏
 
Mnaoselfika kuweni makini humu, picha zenu zinareflect taarifa muhim. Unaposelfika hakikisha background ni white na black hii inaficha location. Msiweke picha zilizo na picha za mijengo au mazingira. Weka filter kidogo you now at safe hand.
VView attachment 3603488
Bora umetusanua maana kuna watu wana kibarua kigumu humu sijaona!🙌🏾
 
Back
Top Bottom