Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Nasikia tu Pawa Mabula, Pawa Mabula. Pawa Mabula ni nani kwenye uzi huu? Na hicho cheo alikipataje? Ni compliment kwa maana ya kwamba ana maguvu sana au ni diss kumaanisha kuwa ni kibonge kupitiliza? Why?

Uzi huu aliyeuanzisha inasemekana alikuwa anajihusisha na mambo ya nguvu za giza. Pengine una laana ndiyo maana huwa haupoi yaani hauwezi kupita mwezi bila hekaheka dah! Hata ambao bado mnauza sura na kuanika mi/ma/vi-tako humu mna mioyo aisee!:AMOGUS:

😹😹😹 We nawe em niache sitaki kucheka nimechoka..!!
 
Duh hongera , ziivyo bei ss

Mi mpk ss ht sielewi nitumie nn, mi napakq chochote nashukuru Mungu ngozi yangu haina shida pia maana heka hela za sikin care siziwezi
Acha ubahili wog 😹😹
Mpaka umejua bei zake means ulizipenda tatizo bei imekushtua..!!
 
Back
Top Bottom