Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

😹😹😹 Bado hujasema tumekuona bana weeh..!! Acha kutaka matraco ya wenzio we yako huna usiweke hayo mazuri??

Nakwambia kila siku acha kupandikiza wengine kwenye ugomvi ili kujidefence. Watu hawataki mabifu hujishangai dada pawa mabula? Post traco
Afu kama hujui, wanaume tunapenda wanawake wa kienyeji hao hao kama akina pawa mabula, ila nyie wngn ndo, kwa ajili kujionyesha na kujazwa mimba na kuwaacha mkiendelea kujifariji na mitoto yenu.
 
Afu kama hujui, wanaume tunapenda wanawake wa kienyeji hao hao kama akina pawa mabula, ila nyie wngn ndo, kwa ajili kujionyesha na kujazwa mimba na kuwaacha mkiendelea kujifariji na mitoto yenu.
Nyooo 😹😹😹
Wewe sema hao wanafaa kuwa single maza mana wanawaza ndoa..!!

Mpaka sasa umewajaza wangapi?

Mimi bado sijajazwa nitafutie wa kunijaza basi 😹😹😹
 
😹😹😹😹😹😹😹 Tupia hapa warembo waone uumbaji mpare..!!
Hapana ntakutumia pm ili uzitume humu mana Naskia unajua sana kuwapeleka watu mjini, na mm nataka kwenda mjini daslamu
 
Mbaga hivi huna issue zingine kabisa za ku-deal nazo physically 🤔

A743D7B3-9F8F-461D-A29B-16F9BE24B4A0.jpeg

cc: Mbaga Jr
 
Back
Top Bottom