Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Kama Kuna mkaka wa haja anayeeleweka namuomba chocho, hawa wadada wapite tu, apa tu nishalewa kimbwa nikikaa humu ntalimana bkock na wapumbavu bure!
Saa tisa hii ushalewa 😂 kuna huyo mkaka anayecheka cheka kwenye reply zako, yuko njema 🔥
Hebu njoo kwanza cheusi mangala mwenzetu🤭
Iphone Stan Twitter GIF.gif
 
Aloo sijui why naambiwa sifanani na maneno yangu 😂😂
Sasa ukisikia sauti utacheka hoii🤣🤣.
Mdomo wangu ni hapa nyuma ya keyboard live hamna kitu
Yani wewe ndo wale ukifanya kosa wakitaka kukuadhibu sura inawajibu tofauti..!! 😹😹

Weka na sauti nione sauti ya kumtoa nyoka pangoni..!!
 
😹😹😹 Uduguu wangu mzoee tu!
Wewe sio mweusi una rangi ya chenza bhana..!!
Mie najifurahia mno hivi nilivyo, na ba mjengo ananipa confidence dunia nzima hakuna 😂 ingekua siyo kuogopa hizi ajira za utumishi, hii sura yangu personal pia ningewamwagia hapa mnijadili 😹😹
Huyo mjukuu wako wapi mfyuuu..!!
Unatufanya watoto sasa..!! Kwa uzee gani ulionao? 😹
Mdogo wangu aliwahi kuzaa, mtoto wake naye kafikisha miaka 19 kazalisha, sasa tumekua mabibi.
Wakifanya tena JF get together, tutatia timu na wajukuu zetu!

Carry Away GIF by DStv.gif
 
Back
Top Bottom