Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 13,995
- 31,247
Dah,😃Unakengeza wewe 😂🤠🤠
Dah,😃Unakengeza wewe 😂🤠🤠
Siwezi mkuu nadhan utalift hiyo mood 🤗Unataka kuharibu mood yako et 🤣🤣
Kaka naona umesha shiba, wacha kelele 😅Eeh mkuu😃
PoleeeeeSiwezi mkuu nadhan utalift hiyo mood 🤗
Njoo kkoo tuteseke kupanga wateja wabishi..!! 😹Nifundishe uwinga basi shoo
Nimechangamka sina baya
Mi napenda ugali na maini, ngoja nile Sasa.Ila wanaume ni ku jijua tu unataka nini maana watoto wakali wapo nyomiii
Mamaaah mammaah we mwanakwetu mbona mzuri hivyo 😍😍😍🔥🔥
Sikufikii wewe maji ya kwanza, niko nasubiri kichambo cha kukosa nuru 😂 Coca kasema sisi vyeusi mangala ni machaguo ya pili huwa tunaonewa huruma tu 😂😂Yani upo kama Millen nyie 😘
Mwili umebalance vizuri..!!
Kajukuu kangu, anzeni tu kuniita bibi 😂Mpe hi baby naona umekashikilia 😍
Ninavyopenda vitoto sasa 🥰
Nitachukua kozi ya mishangazi kwa Binti wa zamani hautakuwa na haja ya kunipa orientation.Weeh unigande 😹😹
Sema vitu zangu wewe 🔥🔥
Sema nina hasira naweza kumtia mitama mteja akizinguaNjoo kkoo tuteseke kupanga wateja wabishi..!! 😹
Chenyewe mwanangu hujakosea 😹😹Naona KIGO kwa mbaaaliii!!
Shenzii anyway arisenaliii bingwaMi napenda ugali na maini, ngoja nile Sasa.
Sema suuuuView attachment 3602221
Sikufikii wewe maji ya kwanza, niko nasubiri kichambo cha kukosa nuru 😂 Coca kasema sisi vyeusi mangala ni machaguo ya pili huwa tunaonewa huruma tu 😂😂
Kajukuu kangu, anzeni tu kuniita bibi 😂
Sasa nime fanyaje?, anyway arsenal bingwa 🔥🔥Shenzii anyway arisenaliii bingwa
Utakua unajifelisha uendelee kubaki shule, sura yako imekaa kimatukio matukio sana 😂Nitachukua kozi ya mishangazi kwa Binti wa zamani hautakuwa na haja ya kunipa orientation.
Suuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu 😹Sema suuuu
Mpuuzi yule mke wa Iyobo anaacha kuniface mwenyewe anajaza wengine maneno ya uongo 😹😹😂😂😂 km nani? Mke wa Iyobo?
Kwanini vita yake asambaze kwa wenginee??
Uduguu vibayaa hivyooo, 😂😂😂
Sasa kazi itakushinda unapiga maboss 😹Sema nina hasira naweza kumtia mitama mteja akizingua
Mkuu una sura dekezi/baby face/emoji face😅
Ulivyokua kazuri sasa 😍 😍 Mashallah kipenzi changu 🔥🔥🥰
Basi nitalegeza nipe location 😅Sasa kazi itakushinda unapiga maboss 😹
Mwenzio na uchizi wangu wote kwa wateja natulia wanipe maisha..!!